Recent content by kimacho

  1. kimacho

    Mke wangu kanitenda, naomba ushauri

    Mimi ni mwanaume mkuu 35yrs
  2. kimacho

    Mke wangu kanitenda, naomba ushauri

    Hapana mkuu najitambua ila sikutaka kukulupuka mwanzo bila ushahidi Wa kutosha
  3. kimacho

    Mke wangu kanitenda, naomba ushauri

    Wakuu nimeupokea ushauri wenu kama wanaume wenzangu najua Leo kwangu kesho kwa mwingine maana hata mdogo Wa xwife alikuwa anaishi hapa kwangu ndio nimemwambia sas hivi napoandika ujumbe huu achape mwendo siitaji kumuona hapa kwakuwa Mimi na dadaake tumefika mwisho anasubili mvua ikate asepe zake
  4. kimacho

    Mke wangu kanitenda, naomba ushauri

    Miaka 13 iliyopita nilikuwa na mahusiano na Dada mmoja ambaye Leo hii ndio mke wangu lkn kabla sijamuoa tulipata mtoto mmoja kipindi napanga tufunge ndoa. Ndugu zangu wakanitonya kuwa huyu wife anatoka na mtoto Wa Shangazi yangu na huyo first born wangu ni mtoto Wa huyo jamaa na mtoto wa yule...
  5. kimacho

    Nilikuja kuelewa swali aliloniuliza baada ya kujua mtoto aliyezaa sio wangu!

    Kuna hii imetokea kwa bwana mdogo wangu kaniomba ushauli nimeiona nililete jamvini huyu dogo anamke na watoto wawili kwa sasa tatizo lipo kwa mtoto Wa kwanza kabla hajamuoa huyu mkewe walizaa mtoto mmoja huyo Wa kwanza mwenye utata ndugu zetu Wa kike yaani Dada zetu wanasema huyu mkewe alikuwa...
  6. kimacho

    Wanandoa nisaidien hili swali

    Hapo juu nimechapia kidogo je ntakuwa nimekosea maana kipindi cha nyuma nilikaa na familia kubwa wamemaliza kusoma na wapovyuoni ila sasa nataka nikae Mimi na familia yangu sina cash ya familia kubwa ntakosea nikimwambia wife sitaki familia kubwa?
  7. kimacho

    Wanandoa nisaidien hili swali

    Minimekaa na familia ya upande wangu na Wa mke kwa muda ila kwa sasa uchumi wangu umeyumba nimeamua sitaki kukaa na familia kubwa lkn wife kaleta mdogo wake Wa kiume aje akae hapo home tena bila taatifa yaani nimeambiwa wakati wameshakubaliana sijakaa vizuri Luna msichana ndugu yake keshamwambia...
  8. kimacho

    Waliowahi kuomba na kupata Visa tukutane hapa tupeane uzoefu

    Kuna yule bibi pale ni hatari mm nimeomba mala2 wamechomoa na Nina cash bank 12mln na naenda kufikia kwa mtu no mfanyakazi Wa serikali lkn wamegoma Ila kuna wamasai wanakuja na vbb vya kiitaliano wanapewa visa ajabu sana
  9. kimacho

    Ajira za udereva kwa vijana Saudia

    Wale vijana walioomba kazi walishafanikiwa?
  10. kimacho

    Ukiwa huna bima au bima yako hailipii magonjwa makubwa unarudishwa nyumbani

    Minaomba muongozo Wa hiyo bima ya 54600 inapatikana vipi nijiunge plz
  11. kimacho

    maji yalivyoongeza nguvu zangu za kiume

    Tumia vitunguu saumu 8 piece na asali kila Sikh asubuhi kabla hujala chochote baada ya nusu saa ndio tia msosi hii Nouma Mzee hata mchana unaweza kukaa ukastukia mnala unanyanyuka wenyewe bila kujuwa Sent using Jamii Forums mobile app
  12. kimacho

    Nataka ni fake maisha ili nipate msichana wa Kiarabu

    Hakuna we kama salio linasoma utapata demu yeyote unaetemtaka we uki fake mwenzio nae anakufake Sent using Jamii Forums mobile app
  13. kimacho

    Msidanganyike Uwoya C saa sita, maelezo hapa

    Nipo na ndiku hapa tunaaoma huu uzi mtoto six o'clock Sent using Jamii Forums mobile app
  14. kimacho

    Taifa Stars yatolewa CHAN baada ta kutoka suluhu na Amavubi Stars ya Rwanda

    Ile ilikuwa sio timu ya ushindani tunawatu wazoefu tuliwaacha wangetuvusha hatua hii Sent using Jamii Forums mobile app
  15. kimacho

    Natafuta kazi ya udereva. Nina uzoefu wa kuendesha viongozi serikali kwa miaka 8

    Chakufanya ludi nit kaongeze madaraja ya leseni yako kwakuwa huna cheti cha 4 ingia kwwnye mitandao huko kazi zinatangazwa kila siku cheki zoom Tanzania
Back
Top Bottom