Mke wangu kanitenda, naomba ushauri

Mke wangu kanitenda, naomba ushauri

Wakuu nimeupokea ushauri wenu kama wanaume wenzangu najua Leo kwangu kesho kwa mwingine maana hata mdogo Wa xwife alikuwa anaishi hapa kwangu ndio nimemwambia sas hivi napoandika ujumbe huu achape mwendo siitaji kumuona hapa kwakuwa Mimi na dadaake tumefika mwisho anasubili mvua ikate asepe zake
 
Wakuu nimeupokea ushauri wenu kama wanaume wenzangu najua Leo kwangu kesho kwa mwingine maana hata mdogo Wa xwife alikuwa anaishi hapa kwangu ndio nimemwambia sas hivi napoandika ujumbe huu achape mwendo siitaji kumuona hapa kwakuwa Mimi na dadaake tumefika mwisho anasubili mvua ikate asepe zake
Kama ni wa Kike Ungemtafuna Huyo ili kupoza Machungu..
 
Yaani ulishafanya kosa, unaishi ndani ya makosa na bado unataka tukushauri!?

Yaani huyo mwanamke kuwa karibu na mama yako ndiyo sababu unasita kumwacha!?

Kama ushahidi unao, unasubiria nini ugundue kwake?
1569153316813.jpeg
 
Basi kwa sababu umeshajua dudu liumalo brother.basi usilisogezee kidole tena lisije likaking'oa kabisa.
Ni heri malizia talaka ya 3.utapotulia utafute mke mwingine maisha yaende
 
Aisee wanaume tunatofautiana.

Katika maisha hakuna ninachokiamini kama kusudi la maisha (My purpose), kias nipo radhi kukuacha vizuri sana wewe mwanamke utakayeonyesha dalili za kunifanya nitoke nje ya kusudi langu.

Mke wangu nimekuoa, nimekuelezea malengo yangu katika maisha, kijamii, kifamilia na kiuchumi pia, halafu baada ya muda fulani unaenda against hayo malengo yaani jiandae tu mapema kuondoka.

Kama una kusudi (purpose) fulani katika maisha na unajua kusudi hilo kias kwamba upo tayari kufanya lolote kulifikia kusudi hilo bila kujali wala kumsikiliza mwingine aisee utaishi maisha ya tofauti sana.

Wife mwenyewe anaelewa na huwa narudia sana hili kwake.

Zaidi ya yote pole mkuu, japo kuna mengi katika family na hatujajua nini hasa chanzo mpka mkeo kufanya kitu kama hicho, haya mambo huwa yanaanzia mbali sana.

Ningekuwa mimi hapo nawaunganisha ili waishi wote wanipe chance ya kuishi kusudi la maisha yangu, kiukweli ni kitu ambacho ni muhimu sana katika maisha hata zaidi ya mke.
 
Ndio maana mume mwenzio anakuita TAAHIRA....amemzalisha mkeo na wewe bado unachekacheka tu...na mimi nakuita TAAHIRA kwa herufi kubwa.
 
Mkuu kimacho huyo sio mke wako bali ni mke wenu (wewe na binamu yako), na ninachoweza kukuambia hao watu hawawezi kuachana Leo Wala kesho labda mmoja afe.
Pole sana kwa kuwa na moyo ya aina hiyo uliyonayo ya kuweza kumsamehe mwanamke anayekusaliti, maana angekutana na wale wanaume tunaowajua sasa ivi habari zingetujia toka segerea au keko.
 
Kwa maelezo yako unaonyesha wewe ni dhaifu sana mbele ya uyo mwanamke, kwa maelezo yako unaonyesha unampenda sana uyo mwanamke sisi unatuuliza kututafuta ubaya tu, kwa maelezo yako unaonekana bado unampango wa kuendelea kuishi na uyo mwanamke mzinifu na muuaji,

Kwa maelezo yako unaonyesha hauna ujanja kabisa kwa uyo mwanamke mbali na kubambikiwa mtoto, mbali na kujua kuwa kidume anakuchapia kilaini kabisa lakini hauna ujanja wa kumuacha uyo mwanamke,

Pole sana rafiki, sisi waungwana hatuna cha kukushauri maana tayari maamuzi unayo wewe mwenyewe, maamuzi yako tumeyajua kuwa hauwezi kuishi bila uyo mmama, kaza moyo mrudishe tu nyumbani unapoteza muda.
 
........ na mbaya jamaa kumbe anaiita mm taahira.........
........ tusaidiane mawazo wakuu kichwa kinanivuluga maana cjui nichukue uamuzi gani
Pole sana mkuu. Ushauri wa kutosha umetolewa, mimi nakazia tuu kwamba huyo mwanamke ni hatari kwa uhai wako
 
Malizia talaka ya tatu..yanini kujitafutia presha..
 
Back
Top Bottom