Half price education solution (hapeso) ni kampuni iliyoanzishwa mwaka 2015 katika jiji la dar es laam likiwa na ofisi zake kariakooo na magomeni mapipa .
kampuni inajihusisha na uchapaji wa machapisho mbalimbali, utungaji na uchapaji wa vitabu vikiwemo vya shule ya msingi na secondary na pia...
inaitwa stool analysis pale tunaangalia mayai ya parasite wanao weza kupatikana katika mfumo wa wa chakula kama kwenye utumbo mdogo au mkubwa kwa mfano mayai ya minyoo mbalimbali na pia kuna bacteria ambao wanapatikana kwenye huu mfumo kwa hivyo njia ya kuwagundua lazma tu utumie choo aka mavi ,
hii itakua mbaya sana itabase kwa kujuana, gharama kuongezeka. kukosa kuvijua baadhi ya vyuo . ingebaki tu cas kwan inarahisisha mambo kwa system hii utakuja kujikuta uliye na pointi kubwa unaachwa katika chuo x lakini mwenye point ndogo anapata nafasi
sisi wakati tunawaza maisha nyie mnawaza uzinzi na kuoa acheni mambo ya kizamani kwa mfano mtu anataka wadada wa saloon wa massage utasema anataka mme, huu ni wakati wa kubadlika badilikeni
Natafuta mtu wa kufanya naye kazi katika mkoa wa Mara, mwenye taaluma ya stashahada ya uuguzi awe bado hajaajiriwa malazi na chakula ni juu yangu,
Ila awe na mindset ya kufanyakazi kwa kujisimamia , awe anatoka wilaya ya Tarime au wilaya za karibu na Tarime pia awe binti, kwa mawasiliano...
jaman kama wewe ni mtoto wa maskini ni vigumu kutunza pesa ya mkopo na uje kuitumia kama mtaji chukulia unatoka tabora upo udsm unaishi hostel kwa siku asubuhi chai ya 500 mchana wali maharage 1000 na usiku wali maharage 1000
utahitaji uingie mtandaoni kutafta reference vocha 500 maji kwa siku...
kama kichwa cha habari kinavyosema ninataka kusaidiwa juu ya ufugaji huu kwenye haya mambo
1; hali ya hewa inayowafaa hawa samaki hususani sangara
2; kina cha maji kwenye bwawa
3; upatikanaji wa chakula pia chakula gan kinawafaa
4; wanahitaji madawa pia wanaweza kushambuliwa na wanyama wengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.