Kifurukutu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 4,502
- 6,403
Kuwa na aibu!
Tena hii ni fedheha kabisa
Njoo nikuajiri usimamie shamba langu
Tena hii ni fedheha kabisa
Njoo nikuajiri usimamie shamba langu
Elimu uliyopata haijakukomboa!Fedheha kiaje ndugu fafanua kidogo
jaman kama wewe ni mtoto wa maskini ni vigumu kutunza pesa ya mkopo na uje kuitumia kama mtaji chukulia unatoka tabora upo udsm unaishi hostel kwa siku asubuhi chai ya 500 mchana wali maharage 1000 na usiku wali maharage 1000kama ni mtoto wa masikini na mkopo umepewa ukaacha kufocus mbele, ukakimbilia kununua sabufa na smart phone badala kununua au kuweka mtaji wa mbegu na kuanza kulima lazima tutegemee haya yanayotokea. MUNGU UTUHURUMIE
Mkuu niunge na mm hapo....nataka kujiajiri tupeane ujuzi...nakuPMunatafuta kazi au shamba.. kama upo moro ntumie namba yako tujiajri mashamba yapo uje tulime. elimu yako sio ya ofisini hiyo wewe unaujuzi unatakiwa uufanyie kazi
Mpe na mtaji kabisa aingie fieldkk vp kwa nn usijiajiri ww mwenyewe kwa kuzalisha mazao mbalimbali kwakuwa umesomea kilimo na mashamba Tanzania yapo yakutosha?
Mimi ni kijana,,umri wangu miaka 25 nimehitimu stashahada ya kilimo na mifugo(Diploma in general agriculture) 2016
Naomba kwa yeyote mwenye uwezo wa kunisaidia kupata kazi ya taaluma yangu au kazi yoyote halali
Nina ozoefu wa miezi 6 kazini kama afisa kilimo msaidizi(field practical maeneo ya mbeya na rungwe).
Natanguliza shukran,,napatikana kwa number 0766852884 nipo Dodoma,mpwapwa
Ikiwezekana hata kwa kujitolea nipate ozoefu,,,mungu awabariki
Check out this job at Monsanto Company: https://www.linkedin.com/jobs2/view/343697769Mimi ni kijana,,umri wangu miaka 25 nimehitimu stashahada ya kilimo na mifugo(Diploma in general agriculture) 2016
Naomba kwa yeyote mwenye uwezo wa kunisaidia kupata kazi ya taaluma yangu au kazi yoyote halali
Nina ozoefu wa miezi 6 kazini kama afisa kilimo msaidizi(field practical maeneo ya mbeya na rungwe).
Natanguliza shukran,,napatikana kwa number 0766852884 nipo Dodoma,mpwapwa
Ikiwezekana hata kwa kujitolea nipate ozoefu,,,mungu awabariki