KANISA Katoliki Parokia ya Familia Takatifu Jimbo la Sumbawanga, limegoma kuendesha ibada ya maziko kwa marehemu wawili wakidai ibada haitaendelea mpaka pale waumini ambao ni wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliotengwa na kanisa hilo, watakapoondoka ndani ya kanisa hilo.
Marehemu hao ni...
This post from Sokomoko is one of the post that need to be discussed and im very happy for bringing this matter here coz majority of us here in JF tunaeneza propaganda za ajabuajabu kuhusu Kikwete na Uislam.
Big up sokomoko
(Nukuu)
Ni vyema viongozi wa Chadema wakaliona hilo na kutokubali kuwa washawishi wa uhasama na kurudisha nyuma maendeleo ya wananchi waliowachagua, wakitazamia maendeleo, kwa imani kubwa waliyonayo kwa viongozi wao.
Kitendo cha kukataa misaada kwa ubinafsi wa kupata umaarufu wa kisiasa...
TANGU umalizike Uchaguzi Mkuu Oktoba 31, tumeona vituko vingi vikifanywa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ambacho kwa sasa ni cha pili kwa ukubwa baada ya CCM.
Miongoni mwa vituko hivyo ni wabunge wa chama hicho kutoshiriki sherehe za kumwapisha Waziri Mkuu Mizengo Pinda na...
Hizo ni chuki binafsi + wivu, Haya yote mnayojitahidi kuutangazia umma huu wa JF ni zile siasa za chuki na ambazo zimepitwa na wakati. Kama Zitto amekuzidi kwa kila kitu hutakiwi kumchafua hivyo ila kupambana na wewe uwe kama yeye.
Samahani kama nimewakosea
Hizo ni chuki binafsi + wivu, Haya yote mnayojitahidi kuutangazia umma huu wa JF ni zile siasa za chuki na ambazo zimepitwa na wakati. Kama Zitto amekuzidi kwa kila kitu hutakiwi kumchafua hivyo ila kupambana na wewe uwe kama yeye.
Samahani kama nimewakosea
Mimi binafsi viongozi wa CDM wamenichanganya na kunionyesha wana njaa kiasi gani. Mara wanatoa kauli hii halaf wanageuka. Unajua mi wameshaanza kuniboa coz HAWANA MSIMAMO. Kumbe JK alisema kweli kwamba hao wanacheza at the end of the day watarudi kwake kwenda kuomba.
Says walkout misinterpreted
CHADEMA national chairman and official leader of Opposition in the parliament, Freeman Mbowe
Chadema yesterday clarified that it recognised the elected president and blamed the public for misinterpreting its MPs walkout when the head of state was about to address...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.