Recent content by Kim ji hyun

  1. Kim ji hyun

    JamiiForums Tanzania Unaweza kumuoa mwanamke aliyewahi kulala na kaka yako?

    Hapana, achana nae
  2. Kim ji hyun

    JamiiForums Tanzania Unasikiliza wimbo gani sasa hivi?

    Rudeboy- Woman Wanavokali- Rhumba
  3. Kim ji hyun

    JamiiForums Tanzania TANZIA Msanii Costa Titch afariki dunia baada ya kudondoka stejini

    Jamanii[emoji24][emoji24][emoji24]
  4. Kim ji hyun

    JamiiForums Tanzania Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

    Yaani mwaka huu ni full kuenjoy, umdhanie ndiye kumbe sie
  5. Kim ji hyun

    JamiiForums Tanzania Demu Kaniacha Ghafla Bila Sababu?

    Achana na mtoto wa watu Usije mpeleka chaka, Yeye mwenyewe kashakuona kichwa hamna, So fata biashara yako Sent from my TECNO K8 using JamiiForums mobile app
  6. Kim ji hyun

    JamiiForums Tanzania Otile Brown na Sanaipendi waliua kwenye nyimbo ya chaguo la Moyo

    Anajua kuimba sana, napenda Regina alioimba na jux pamoja na Aisha Sent from my TECNO K8 using JamiiForums mobile app
  7. Kim ji hyun

    JamiiForums Tanzania Nakukumbuka John G. Kama niliacha kinyongo moyoni mwako nisamehe

    [emoji23] ngoja niiandae ntakuja kuiweka
  8. Kim ji hyun

    JamiiForums Tanzania Msaada: Mdogo wangu aliye kidato cha nne ana ujauzito

    Duh! Kuja NECTA ifike mimba itakuwa kubwa na sidhan kama ataruhusiwa kufanya mtihan. Hapo labda mfake ugonjwa ili aje afanye mtihani mwakani. Coz anaweza kuendelea na shule then kufika Siku ya mtihan wanamkacha na ikawa kazi bure, au kama kuna mwalimu mlienae karibu mnaweza kwenda kuongea nae...
  9. Kim ji hyun

    JamiiForums Tanzania Mpaka kufikia Umri huu nimeishi kwa shida sana ndugu zangu, moyo wa mtu umebeba mengi sana

    Nmeangalia tu jina nkatulia kwanza[emoji16][emoji16]
  10. Kim ji hyun

    JamiiForums Tanzania Kuna uhusiano gani kati ya Kuku na Mnafu?

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  11. Kim ji hyun

    JamiiForums Tanzania Binamu yangu kanitibua yeye na mwanae

    Nenda tu mkayamalize then waambie waache kulea watoto kindezindezi tena mtoto wa kiume.
  12. Kim ji hyun

    JamiiForums Tanzania Bobrisky avutiwa na Diamond Platnumz

    Mbona huo mwandiko kama namuona Gigy kwa mbaaali, Maana Google sidhani.
  13. Kim ji hyun

    JamiiForums Tanzania Ni kweli kuwa Watanzania wengi hawafahamu matumizi ya smartphone kiasi cha bando kutafunwa bila kutambua?

    Apps nyingi zinatumia background data, japo sio sana unaweza set data isitumike mpaka pale utakapo ruhusu mwenyew kwenye app husika. Pia watu wengi hawajui maeneo mengi ya simu zao yaani mtu anaogopa anaweza bonyeza sehem akaharibu , so unakuta wanaishia maeneo muhimu tu ya kawaida.
  14. Kim ji hyun

    JamiiForums Tanzania Muda upi ni sahihi kwa mume kurudi nyumbani?

    Muda wa kazi unapoisha rudi nyumban, kama kuna ratiba zingine zitakazo kuchelewesha toa taarifa mapema kuondoa tafrani ndani ya nyumba na maswali yasiyo na msingi. Pia ni muhimu sana kushiriki chakula cha usiku na mkeo au wanao.
Back
Top Bottom