Habari zenu
Mimi ni kijana wa kiume nina mpenzi wangu tumekuwa pamoja kwa miaka mitatu ila yupo mbali na mimi.
Ananiambia kuwa ameshawaza mara nyingi tu kuniacha ili abaki mwenyewe ila anashindwa kwa sababu ananipenda kuna wakati anapiga simu akiwa na dhumuni hilo ila anashindwa sasa...
habari wanajamii mi ni kijana wa kiume natafuta garage ya kutengeneza magari ili nijifunze nataka garage ambayo inatengeneza magari ya aina zote yaani ya diesel na petrol garage iwe arusha anaejua anisaidie tafadhali
Mimi ni mwanafunzi wa advance form 5, O-level nilisoma sayansi ila kwa sababu nilifeli mathematics nikapangiwa comb ya arts ambayo ni HGL.
Kiukweli sipendi arts na shule wamegoma kunibadilishia comb kwa sababu nilifeli math sasa nipo likizo na kiukweli mpaka leo bado sina malengi ya hii comb...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.