Naomba msaada wa mawazo; Nawaza kuachana na comb hii ya HGL niende garage

kilukunyenge

Member
Dec 21, 2016
20
16
Mimi ni mwanafunzi wa advance form 5, O-level nilisoma sayansi ila kwa sababu nilifeli mathematics nikapangiwa comb ya arts ambayo ni HGL.

Kiukweli sipendi arts na shule wamegoma kunibadilishia comb kwa sababu nilifeli math sasa nipo likizo na kiukweli mpaka leo bado sina malengi ya hii comb ya HGL sijui kama itanitoa au ndio nikimaliza narudi kutafuta mishe kitaa kwangu nimefikiria ni bora niache advance niende nikajifunze garage ili niwe na fani

Naombeni msaada hapo vipi mnaonaje niende tu garage au niendelee na advance ndugu zangu na sisi wa arts hatuna pakushika kwenye hii serikali yetu naomba msaada wa mawazo wenye tija ndugu zangu
 
jiulze wangap wameenda garage unaowajua wamefanikiwa,? kiykwelu kwa huku chui hgl uktoa edctn hamna kozi nyngne ya ajira ya fasta ,unaweza pga hgl pia then bdae ukashndwa 4m6, fanya maamuz nenda dploma ya nursng kama utaqeza
 
Ili usome hiyo sayansi(cbg) walau uwe na d hesabu au la wakati uko a level urudie hesabu ili usikumbane na vikwazo vingine mbele
 
Je, umewashirikisha wazazi/walezi wako katika hili?
Kumbuka.... Sio kila jambo jf ni mahala sahihi pa kukupatia ufumbuzi.
Nakushauri uanze kwa kuwashirikisha wakubwa walio karibu na wewe, kisha wasikilize nini watakushauri. Ikiwa hauto ridhika, ndipo waweza leta hili swala hapa jf na kisha ukaomba ushauri kwa kuanzia pale ambapo utakua hauja ridhika kutoka kwenye ushauri wa wakubwa zako
 
ukijalibu kuforce kingi utafeli form six nakwambia ninao ushahid kuna jammaa alitoka hge na kwenda PCM alilamba ziro kavu sasa wewe nenda kichwa kichwa kwa ushauli wangu soma comb hizi mbili chagua moja utojuta HGE ,EGM kazia geog na economics
 
ukijalibu kuforce kingi utafeli form six nakwambia ninao ushahid kuna jammaa alitoka hge na kwenda PCM alilamba ziro kavu sasa wewe nenda kichwa kichwa kwa ushauli wangu soma comb hizi mbili chagua moja utojuta HGE ,EGM kazia geog na economics
atasomaje EGM ana F ya mathematics
 
Huenda mungu hajakupangia huko..pia sio wote waliotoka wamesoma sayansi tumia nafas uliyopata vizur mengine utajua mbeleni.acha kukaririshwa na maneno ya mtaan yatakupoteza
 
I can feel yoh pain bro.... Me binafsi ushauli wangu kama kweli ur intended kusoma science bola uache uende hata clinical officer au faculty nyingine yeyote kama pesa ipo maana nackia bi mdashi kasema ukitokea diploma hupati mkopo sa cjuh kama kweli au anazingua na pia ukimaliza co unaeza fanya kazi ukapata kipato cha kujisomesha degree ila tc nosense unaeza ukapata mtaji wa kufanya. Vitu vikubwa zaidi...... Ila kama pesa haipo we komaa tuuu na hgl kawe ticha kupitia kazi hiyo tafuta mtajibwa kufanya vitu vingine.....


Usililie sana pcb Au cbg me nimemaliza mwaka huu na wana kibao ani kufaulu tuuu n kazi haikuishia hapo kupata vyuo ikawa kazi pia haikuishia hapo kupata mkopo maana udaktari kujisomesha mwenyewe ni kazi acha tuuu
 
Mawazo yako n sahh....lkn nashaur malizia masomo yako....acha kuamua kwa mtazamo na hisia....hgl bado unaeza toka.....elimu ya juu c kwa ajil ya kukuandaa kwa utendaj bali kua mwanafikra....mbunifu...unajawa na wazo jins kiti kinavyoweza kua alaf ndipo sasa unawahusisha ao vocational trainees kutekeleza wazo lako.....gelej ipo na itabak kuepo....ktk iman amin kila kinachokutokea ni makusud ya MUNGU kubali hgl ifanyie kwel akika km kutoka utatoka....c kila aliyesoma PCM,PCB,EGM na EGM katoboa...ktk planning kuna kitu tunakiita meritocracy.. Ambao unazawadiwa due to ua individual ability and effort.... Hakuna definition moja ya kutoka kimaisha....ktk theory kuna moja inaitwa contingency theory inadai no best way to organise and to succeed..... Namalizia kwa kusema ...s kila aliyesoma koz ya sayans yuko alikopataman....
 
Kama umefeli Mathematics ya O Level sidhani kama utaweza kusoma PCB...Hata CBG nina wasiwasi
 
Back
Top Bottom