Hawa jamaa walikua TBC FM sasa wanajiita Bongo FM.
Kuanzia leo ila niwashauri wabadilike katika content zao wajikite kuburdani zaidi waachane na vipindi vinavyofanywa na TBC Taifa kama ukulima, ufugaji, ma'suala ya kisiasa na kijamii, hotuba za watawala waachane nayo.
Kwa maoni yangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.