Recent content by kilosaboy

  1. kilosaboy

    Web zinzorusha epl

    Habari zenu ndugu zangu. Naomba mnitajie web zinazorusha epl maana kulipia dstv imeshakua balaha. Ahsanteni.
  2. kilosaboy

    Ethiopia yapiga marufuku betting

    Nzuri hiyo na sisi bongo tufanye mamna
  3. kilosaboy

    Features gani zingekuepo WhatsApp ingekuwa imekidhi mahitaji yako makubwa?

    Waboreshe zaid kwani inaboa unapobadilisha cmu unapoteza data muhimu Toka cmu ya awali.
  4. kilosaboy

    Nimelidondosha Bumunda jingine leo. Sitaki ujinga

    Umemkomesha hasa huyo manzi😁😁😁😁
  5. kilosaboy

    INAUZWA Jipatie TV, redio, home theater, pasi, majiko soundbar na vingine vingi kwa bei ya store

    Hata mikoani unalipia baada y@ kupokea? Mi nahitaji
  6. kilosaboy

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Leo tarehe 18/12/2024 mlikata umeme ucku wa manane then mmekuja kukata saa 3 asubuhi lkn Hadi muda huu wa saa 6 mchana umeme haujarudi tatizo nn?
  7. kilosaboy

    Namuogopa X wangu

    Kweli wewe bado  unampenda huyo Jamaa.
  8. kilosaboy

    Nimepatwa na maajabu duniani baada ya kununua na kusoma kitabu fulani

    Ukuje huku Mr Mshana utoe upako wako kwà huyu mwana.
Back
Top Bottom