mna imagine sana wadogo zangu. mtakuja mkutane na vibungo muanze kulia lia.Nadhan hamfikii, To yeye & Seran
😂😂mna imagine sana wadogo zangu. mtakuja mkutane na vibungo muanze kulia lia.
Sana tena haswaaKwqni seran n mzur sana ety mkuu
Amfumue tu asirembe
Asifanye chochote, aachane nae tu...Amfumue tu asirembe
Kwanini usiende kupiga ramli?Wadau Kuna pisi moja Kali sana aisee demu mzuri kinoma tunaishi nae nyumba moja ya kupanga apa DSM yeye anafanya kazi dukani kariakoo ni mzuri kinoma sina maeozea nae sana zaidi ya salama ila nimempenda awe mpenzi wangu mbaya zaidi Mimi nimeacha kutongoza mda mrefu maana mademu siku hizi wanalings sana ukimtongoza unaweza jibiwa mbovu ikawa aibu ila Wadau nitumie mbinu gani kuipata hii pisi
Wadau kila nikionana nae mtoto mzuri aisee nafurahi sana, mbaya zaidi Mimi ni kiongozi wa umeme niliendaga kuomba Hela ya umeme ndio uwa tunaongea sana ila sina mazoea nae sana kivile, Wadau vipi niweke pesa huduma hau nitumie mbinu gani awe mama watoto wangu
Aah wee kuweza???? Wapeane tuAsifanye chochote, aachane nae tu...
Mkuu elewa maana ya kiongozi mkubwa wa CCM!kiongozi mkubbwa wa cccm ndio yule mjumbe wa nyumba 12 ?
We ni mwanaume?Naomba uwe mke wangu 😊😊
Hapana ni othersWe ni mwanaume?
Na mwanaume wa kweli haogopi kutuma maombi.Jitoe kimaso maso,kukataliwa au kukubaliwa yote majibu!