Recent content by kiloni

  1. K

    JamiiForums Tanzania DR. Mwakyembe na Natural Justice

    Na JK alitakiwa Kuhojiwa.
  2. K

    JamiiForums Tanzania NCCR yameiva: Kafulila kuvuliwa uanachama Jumamosi!

    WWaambie hao yapo mapandikizi ya magamba yanajitia UCDM ili yavuruge! utawatambua kwa matunda yao!!
  3. K

    JamiiForums Tanzania Nyerere: Salaam zenu mnaomkejeli!

    FF ni mabaki yale ya 1990s ya kutaka kusilimisha Africa baada ya kushindwa "HASIRA KAMA MTOTO MWENYE UTAPIAMLO" kila siku uislam , ukristo. uislam, ukristo, uislam ukristo these parots"!!!!
  4. K

    JamiiForums Tanzania Nyerere: Salaam zenu mnaomkejeli!

    Kwa hiyo vita yako ni ya ukatoliki!! myopic!
  5. K

    JamiiForums Tanzania A coincidence or consensus?

    What did you expect? For Government whose president does not command respect and authority! Dreams of old good days where a regional meeting was postponed due to absence of the Nyerere are gone! The old good days where hundreds of regional leaders would scramble for the wise advises from...
  6. K

    JamiiForums Tanzania Sh 64 bilioni zatumika sherehe za Uhuru!

    Moderator tuondolee vilaza kwenye jamvi letu. Kama huyu anapersonalise matumizi ya fedha za walipa kodi. Hizo hela ni zako na ndugu zako. Je ndivyo ulivyotaka zitumike!? Can you really justify this nonsense by such a weak argument?!!
  7. K

    JamiiForums Tanzania Tanzania kushiriki kuishambulia IRAN

    Siamini hili ila ninaogopa kwa huyu Kiongozi BULICHEKA tuliyenaye anaweza kuanza (kigugumizi cha kutokumaster lugha) teh teh teh we (kigugumizi) will support USA teh teh yes teh teh teh yes. Ndugu zangu tukifikisha 2015 salama na kuongozwa na huyu tutoe sadaka ya kushukuru nchi nzima!!!
  8. K

    JamiiForums Tanzania CUF waridhia uamuzi wa JK; Wampongeza kusaini muswada mabadiliko ya katiba na kumuunga mkono

    Hapana mkuu waliitwa na Bwana wao!
  9. K

    JamiiForums Tanzania CUF waridhia uamuzi wa JK; Wampongeza kusaini muswada mabadiliko ya katiba na kumuunga mkono

    Wife ni wife tu hata mtofautiane atakusifu. Ona haya maneno "sheria itarekebishwa" utetezi baada kutoka bed yaani! sheria iliyosainiwa itarekebishwa lini? Sheria kandamizi, sheria ya kijinga Ok hata wife anatakiwa asione uozo wa Mumewe! hongera CUF kwa kuwa Mke mwema. Jengeni dola ya kitandani.
  10. K

    JamiiForums Tanzania Machali, mshauri Mbatia afute kesi dhidi ya Mdee - Kafulila

    Mbatia-mrs QUARESI
  11. K

    JamiiForums Tanzania Nyerere Hakuwa na mapungufu, alikuwa Kiongozi Mbovu!

    Minaomba usimkumbuke Mwinyi! aliyefanya ikulu kuwa danguro la wahuni wakimwita shemeji. Hivi yule jambazi wa kwanza wa madini yetu Siti yuko wapi?!
  12. K

    JamiiForums Tanzania Kigugumizi cha Membe katika vita dhidi ya ufisadi...

    Nimeipenda hii/ WaTZ wote wanatakiwa wawe macho kuona chui walio katika mavazi ya kondoo wakitafuta urais. Utakumbuka JK 2005 alikuwa mkali na tukampenda kuhusu ufisadi na kuahidi kuushughulikia kikamilifu! Lakini alipopata tu urais alitumia neno "tutawashauri" mafisadi waache. Aliongea akisema...
  13. K

    JamiiForums Tanzania Nyerere Hakuwa na mapungufu, alikuwa Kiongozi Mbovu!

    Anamtetea Bishoo jaakaya asiyejua hata kwanini tuka maskini!! Anatetea UISLAMU!!!basi hana kitu kafisilika na kiriba cha roho!!
  14. K

    JamiiForums Tanzania Nyerere Hakuwa na mapungufu, alikuwa Kiongozi Mbovu!

    Hata ulivyopost inaonyesha unafiki na prejudice ya hali ya juu! on "NYERERE 'HAKUWA NA MAPUNGUFU' LAKINI ALIKUWA KIONGOZI MBOVU" Unakubaliana na lipi kati hizi contadicting statements?! mnafiki mkubwa. UDINI unauleta wewe kwa ujinga wa kujemga hoja! Unaposema waislamu hawakuwa/hawana na chuki na...
Back
Top Bottom