Sh 64 bilioni zatumika sherehe za Uhuru!

Yaani kumbe watu wameanza kusherehekea tangu July???

Hivi walikuwa wanaona 09/12 ni mbali au??
 
Pesa hizo zingeenda Elimu na Afya au kunulia mitambo ya kuzalisha umeme!
 

Attachments

  • elimu bora.jpg
    elimu bora.jpg
    93.1 KB · Views: 25
halafu wanawapoza eti posho zisiongezwe,kwani hizi b 64 ni za bendera na mabango? We need audited account report on these.pia tujue source! Delloite mpo? Maana CAG ndo walewale
 
Here we go again...celebrations are over and the money is GONE....ivi kwa mfano wangechota kiasi na kufadhili wanachuo waliokosa mkopo kingearibika kitu gani?....
 
to be honest this is a very big amout to be spent by this poor counrty,we all know that since Uhuru a lot have been achieved but why using a lot of money,this money was enough to buy Vitanda to all referal Hospital in the country,Tuache utani na tuwe wakweli kama kweli hizi pesa zimetumika ,tumeshindwa kuona vipaumbele vya hili taifa,Period
 
Mi mara nyingi huwa nawashangaa mnaojiita Great thinker,kwani kuna tofauti gani mchaga kutumia milion kumi akisherekea xmas rombo na ndgu zake ambao hat secondary hawajagusa na nchi yenye watu zaidi ya 40mil?,nyie wenyewe kila mwaka mnafanya birthday zenu za zaidi ya 70 elfu na hili khari bado hamja timiza mahitaji yenu yote ya kifamilia iweje gvt isisherekee 50yrs kwa Bs?ok anaway this is a demothinking ground.
umeshwahi kufika rombo? ukalinganisha hata na kisarawe wewe??

hebu zunguka tena ujue mkoa gani una hospitali, shule na barabara nzuri zaidi
 
Mi mara nyingi huwa nawashangaa mnaojiita Great thinker,kwani kuna tofauti gani mchaga kutumia milion kumi akisherekea xmas rombo na ndgu zake ambao hat secondary hawajagusa na nchi yenye watu zaidi ya 40mil?,nyie wenyewe kila mwaka mnafanya birthday zenu za zaidi ya 70 elfu na hili khari bado hamja timiza mahitaji yenu yote ya kifamilia iweje gvt isisherekee 50yrs kwa Bs?ok anaway this is a demothinking ground.
Moderator tuondolee vilaza kwenye jamvi letu. Kama huyu anapersonalise matumizi ya fedha za walipa kodi. Hizo hela ni zako na ndugu zako. Je ndivyo ulivyotaka zitumike!? Can you really justify this nonsense by such a weak argument?!!
 
Wanafunzi wangapi wameshindwa kuripoti chuo kisa ada?. Shule ngapi za kata hazna madawati, vitabu, laboratory n.k! Vijiji vingapi havina maji! Waalimu wangapi wanadai makato yao!.. Vijiji vingapi havna magari ya kubebea wagonjwa!

Matatizo ni mengi sana. Inakuaje watumie 64bln/day?. Hawawatendei haki watanzania.
Hapo kwenye red, si mmenunuliwa bajaji?? acheni kupenda starehe nyie watanganyika, mnataka landcruiser ili iweje....:eyebrows:
tehe tehe!!

kumbe hata wewe huwa kichwa chako kinapata network wakati mwingine.
 
yale yale............ mkwerre yake ngoma, mchagga zake pesa, mgogo chake kikopo, mkurya zake ghadhab, msukuma zake sifa na mmbeya wake umbeya!!

Sifa siyo za Mhaya!!!!!?????? Nadhani wasukuma utajiri wa kweli wa ng'ombe siyo sifa tu
 
Indicator mojawapo ya umaskini wa akili/fikra ni "kutukuza sherehesherehe" ushaona mtu mwenye mali akifanya matumizi ya kijinga? Kamuulizeni bill gates mpate jibu angalieni..... Hawa viongozi wetu bana tusiwalaumu sana maana akili zao bado ni zile za watu maskini. Mtu maskini hakosi kutafuna pesa kwa kisingizio chochote kile - mara ngoma ya kumtoa mwali, mara kitchen party, mara bag party, mara mkole........kibaya zaidi huwachangisha wengine.mtu kitchen party ni yako unanichangishe miye vinahuuuu?? Hizi sherehe chunguzeni mtakuta kuna michango ya wafadhili humo lol.
 
Mi mara nyingi huwa nawashangaa mnaojiita Great thinker,kwani kuna tofauti gani mchaga kutumia milion kumi akisherekea xmas rombo na ndgu zake ambao hat secondary hawajagusa na nchi yenye watu zaidi ya 40mil?,nyie wenyewe kila mwaka mnafanya birthday zenu za zaidi ya 70 elfu na hili khari bado hamja timiza mahitaji yenu yote ya kifamilia iweje gvt isisherekee 50yrs kwa Bs?ok anaway this is a demothinking ground.

Huu mfano wako hauji kabisa.
Huyu mchaga hajachota pesa za ukoo wala kijiji - ni zake jasho lake.
Hawa wanaoongelewa hapa wamechota kutoka fuko letu sote na hawajala na wananchi wote!

 
  • Thanks
Reactions: BAK
wakubwa wakubwa tu sie wakina yakheeee tutapiga kelele hela zishaliwa.....inatia uchungu sana
 
Hela ambayo ingetosha kabisa kuunganisha wilaya ya karatu na Mbulu kwa kiwango cha lami. Mbulu ambayo kwa miaka zaidi ya 100 ya uwepo wake kama wilaya haina barabara ya lami hata moja!

Tungeweza basi kununua magari ya wagonjwa kwenye wilaya karibu 100 nchini na kuondokana na mpango wa vibajaji!

Tungeweza kuwalipa waalimu malimbikizo ya madeni yao na kuepukana na mgomo walioitisha mwezi januari mwakani!

Tungeweza kulipia mfuko wa jimbo kwa wabunge zaidi ya mia 3 kwa miaka miwili!

Duh! Hadi ccm itakapoondolewa madarakani tutakuwa tumebaki mifupa mitupu!
 
Ijumaa tarehe tisa nchi imesherekea fifty years of uhuru..vyombo mbali mbali vya habari nchini vimetoa gharama za maandalizi na kusema kuwa ni zaidi ya billioni hamsini. hivi kweli serikali imeshindwa kufanya coverage ya maonyesho kwenye tv yaliyo na hadhi? hizo hela zimeenda wapi? tbc is crap..hivi our viongozi wana akili kweli? wameshindwa hata kutoa basi hela kwa kampuni binafsi kurusha matangazo? it was soo sad for a country like tz kusherekea uhuru kistyle ile..naona maonesho na sherehe za 1961 zilikuwa bora zaidi ya 2011!
 
Back
Top Bottom