Nyerere: Salaam zenu mnaomkejeli!

Kwanza kabisa mimi sikubaliani na hilo "baba" wa Taifa, huo ni ukatoliki na hutumika kanisani kuwaita wachungaji "baba", kumuita "papa" "baba" mtakatifu.

Hii nchi Nyerere aliikuta ina watu wa imani tofauti na ameondoka ametuwacha watu wa imani tofauti, kwanini mtubambikie vyeo vya kikatoliki na Kikristo? hamuoni kuwa huo ni "udini" wa wazi wazi?

Hakuna "baba" wa Taifa, huo ubaba alipewa na nani na kwa ridhaa ya nani? msitujaze ujinga.

ninajiuliza hivi wewe mwanamke unafikiri kwa kutumia kiungo gani katika mwili wako sipati jibu. Maana hata wanaotumia makalio hawawezi kupost upupu wa namna hii. Hivi wewe mwanamke wa kiislamu wa namna gani aliye mjinga namna hii? pheww
 

- Kuweka Vijiji vya Ujamaa (1972?)(kurudisha watu nyuma kimaendeleo), angalia uchagani hamna vijiji na angalia wapo wapi kimajengo etc.

Nia ya Sera ya vijiji vya Ujamaa, pamoja na mapungufu yake, ilikuwa ni kujaribu kuikabili changamoto iliyopo Tanzania hata leo hii in terms of population ya tanzania kuwa sparcely distributed in the country side; tusisahau by 1961, Tanzania ilikuwa 95% rural, and only 5% urban; the nature of population kuwa sparcely distributed ilileta ugumu kwa serikali kusambaza huduma za jamii kama TANU iliyoahidi wakati wa harakati za uhuru; kwahiyo kuwakusanya watu vijijini ili wawe kwa wingi katika maeneo kadhaa kadhaa ilirahisishwa upelekaji wa huduma hizi kama maji, afya n.k; na vile vile input za kilimo katika shughuli za uzalishaji kwa kufuata kanuni ya uchumi ya economies of scale.

Mbali na suala la huduma za kijamii, lengo la vijiji vya ujamaa pia ilikuwa ni kurahisisha uwezekano wa kuleta a green revolution (katika kilimo) na white revolution (katika diary industry), kwa kufuatilia formula ya agricultural transformation ambayo ingepelekea maeneo yale kugeuka kuwa industrial centres baadae, na hivyo kupunguza dependency ya kilimo katika GDP overtime, na kuhamishia kwenye indutrial sector. The idea faield ofcourse, both kutonana na mipango na utekelezaji, ingawa tuliweza kufikisha mchango wa industrial sector to GDP kwa asilimia 12, kiwango ambacho hakuna utawala mwingine uliofanikiwa kufikia.

Suala la Moshi kutokuwa na vijiji vya ujamaa ni sawa, na sio moshi tu bali mikoa yote ambayo ilikuwa haina tatizo la sparcely distributed population. Cha kushangaza au sijui kusikitisha ni kwamba, leo hii ukipita maeneo ya Singida, Dodoma, Manyara na mikoa mingine iliyo nyuma kimaendeleo, wananchi wengi wanatamani vijiji vya ujamaa virudi, kwani kwa sasa wana maisha duni sana kuanzia makazi, miundo mbinu, umbali na sehemu nyingine kutokuwepo kabisa kwa huduma za kijamii n.k
 
tuzungumzie hapo kwenye red hebu nieleze unafiki wa waislamu ni upi, kwanini watu munapenda kusifu kila kitu bila ya kuchunguza ukweli mambo hivi wewe uaijua historia ya kweli ya nyerere mimi simuiti baba wa taifa hapo utaniwia radhi!!!!

na ule usemi ukitaka kumaliza mtanzania kaweke habari kwenye kitabu hakuna watu wavivu wakusoma kama watanzania na ndio maana mnapelekwa kibubusa nakupa home work kasome vitabu vifuatavvyo THE DARKSIDE OF MWALIMU JULIUS NYERERE:

THE PARTNERSHIP cha ABDOU JUMBE ukweli wa mambo utaujua
 
Kwa nini Nyerere alipora sekondari za Bukoba,Mbeya na Kilimanjaro na kuwasomesha wanafunzi wa Lindi,Mtwara na kwingineko???
Kwa nini Nyerere alituunganisha na Wazenji wavivu??????????
 
tuzungumzie hapo kwenye red hebu nieleze unafiki wa waislamu ni upi>kwanini watu munapenda kusifu kila kitu bila ya kuchunguza ukweli mambo hivi wewe uaijua historia ya kweli ya nyerere mimi simuiti baba wa taifa hapo utaniwia radhi!!!!

na ule usemi ukitaka kumaliza mtanzania kaweke habari kwenye kitabu hakuna watu wavivu wakusoma kama watanzania na ndio maana mnapelekwa kibubusa nakupa home work kasome vitabu vifuatavvyo THE DARKSIDE OF MWALIMU JULIUS NYERERE:THE PARTNERSHIP cha ABDOU JUMBE ukweli wa mambo utaujua

Ukweli kwenye hivyo vitabu viwili tu? Tena vya watu walioanguka kwa sababu fulani fulani. Nimesoma Dark Side kitabu chote. Mbona mwandishi hakusema role yake ilikuwaje kwenye yale mapinduzi yaliyoshindwa ya mwaka 1982-83? Maana tuwe wakweli, Nyerere hakuanza tu kuwasumbua hawa watu. There was a reason.

Therefore ili ukweli upate kupewa heshima, lazima kuwe na both side of stories.
Hata Abood Jumbe, ni nani aliyetia kikaangoni? Ni nyerere au ni wanzazibar wenzake? Tusiwe watu wapenda unafiki. Hatutafika popote. Madaraka, nguvu na chochote tunachokitaka hakitakuja kwa kupiga soga na majungu. Kitadai tukitolee jasho.

Naona tuko busy kujenga Taifa la wapiga majungu. Ni kwa hasara ya nani? Nyerere kesha enda zake...it will be me and you. Tukiitafuta jehanam tupaipata tu tusidanganyane kuna mtu atakuwa safe au atapata safe exit to heaven.
 
nashangaa watu wanazungumzia kasoro za nyerere tu na hawaoni mapungufu ya Karume mkubwa? Sio ndio maana aliuawa kutokana na udikteta? Mbona karume wanamstahi hivi?
 
tuzungumzie hapo kwenye red hebu nieleze unafiki wa waislamu ni upi>kwanini watu munapenda kusifu kila kitu bila ya kuchunguza ukweli mambo hivi wewe uaijua historia ya kweli ya nyerere mimi simuiti baba wa taifa hapo utaniwia radhi!!!!na ule usemi ukitaka kumaliza mtanzania kaweke habari kwenye kitabu hakuna watu wavivu wakusoma kama watanzania na ndio maana mnapelekwa kibubusa nakupa home work kasome vitabu vifuatavvyo THE DARKSIDE OF MWALIMU JULIUS NYERERE:THE PARTNERSHIP cha ABDOU JUMBE ukweli wa mambo utaujua
unafki wa waislam ni kudanganywa na JK kuwa mtapewa mahakama ya kadhi mkamchagua leo amewaruka mnashindwa kuingia barabarani kuidai kwa nguvu.
 
Wakuu WildCard na Mchambuzi,

Baba wa Taifa alikuwa HAAMBILIKI. Vijiji vingi ya Singida na Dodoma unavyoongelea ni vya UJAMAA na ndivyo vimekufa. Kwenda vijiji vya ujamaa kulifanywa bila tahmini na research ya kutosha. Mwalimu aliiga kila kitu Urusi na China bila ku LOCALIZE.

Wildcard, kwenye vita umekosea ndugu yangu sikua mdogo nilikua kijana. Pale Mwalimu alichemsha.

Wasomi walikua kidogo nakubali lakini alikua na nafasi ya kuwaleta wageni watusaidie. Tatizo alikua na ujamaa wa kufikirika. Anacopy bila kufikiria mazingira halisi. Hao akina Mwapachu na Kaduma walikuwa wakitoka hapa pamekufa (yule wa GAPEX nimemsahau) walikuwa hawafungwi!, sijasema walikua wanaiba. NO Namfahamu Mwapachu ni mwadilifu sana (BAkari).

Vita vya Kagera tulijazwa propaganda. Sisi ndo tulikuwa tunataka KUIKOMBOA AFRICA wakati tulikua hatujiwezi kiuchumi. Hilo nalo ni kosa alilofanya mwalimu.

Kwa ufupi ANGEAMBILIKA tungekua mbali sana.

Ukabila na Udini ni sehemu aliyofanikiwa sana Hongera kwa hilo

Kiswahili na umoja wa kitaifa pia alifanya vyema

Elimu, sie tulisoma bure, asante Mwalimu RIP.

Alikandamiza DEMOKRASIA, pia tukubali alipenda u STALIN sana.

Mwalimu alikuwa anapenda sifa jamani hilo ni kweli.
 
Kwanza kabisa mimi sikubaliani na hilo "baba" wa Taifa, huo ni ukatoliki na hutumika kanisani kuwaita wachungaji "baba", kumuita "papa" "baba" mtakatifu.

Hii nchi Nyerere aliikuta ina watu wa imani tofauti na ameondoka ametuwacha watu wa imani tofauti, kwanini mtubambikie vyeo vya kikatoliki na Kikristo? hamuoni kuwa huo ni "udini" wa wazi wazi?

Hakuna "baba" wa Taifa, huo ubaba alipewa na nani na kwa ridhaa ya nani? msitujaze ujinga.
Kwa hiyo vita yako ni ya ukatoliki!! myopic!
 
Kwanza kabisa mimi sikubaliani na hilo "baba" wa Taifa, huo ni ukatoliki na hutumika kanisani kuwaita wachungaji "baba", kumuita "papa" "baba" mtakatifu.

Hii nchi Nyerere aliikuta ina watu wa imani tofauti na ameondoka ametuwacha watu wa imani tofauti, kwanini mtubambikie vyeo vya kikatoliki na Kikristo? hamuoni kuwa huo ni "udini" wa wazi wazi?

Hakuna "baba" wa Taifa, huo ubaba alipewa na nani na kwa ridhaa ya nani? msitujaze ujinga.

The problem with guys is that…you do not know yourselves oryour enemies; and you are dreaming of wining the 'war' and conquer the World.Never on Earth!!!!

Sawa alipewa kanisani huo ubaba wa taifa nashangaa unang'aka nn wakati ww mamboya kanisa hayakuhusu...nendeni na nyie misikitini mumpe wa kwenu usheikh,ualhaji, uimam, umaalim (whatever u call) wa taifa. Uone kama kuna mkristoatalalamika.
 
Wakuu WildCard na Mchambuzi,

Baba wa Taifa alikuwa HAAMBILIKI. Vijiji vingi ya Singida na Dodoma unavyoongelea ni vya UJAMAA na ndivyo vimekufa. Kwenda vijiji vya ujamaa kulifanywa bila tahmini na research ya kutosha. Mwalimu aliiga kila kitu Urusi na China bila ku LOCALIZE.

Wildcard, kwenye vita umekosea ndugu yangu sikua mdogo nilikua kijana. Pale Mwalimu alichemsha.

Wasomi walikua kidogo nakubali lakini alikua na nafasi ya kuwaleta wageni watusaidie. Tatizo alikua na ujamaa wa kufikirika. Anacopy bila kufikiria mazingira halisi. Hao akina Mwapachu na Kaduma walikuwa wakitoka hapa pamekufa (yule wa GAPEX nimemsahau) walikuwa hawafungwi!, sijasema walikua wanaiba. NO Namfahamu Mwapachu ni mwadilifu sana (BAkari).

Vita vya Kagera tulijazwa propaganda. Sisi ndo tulikuwa tunataka KUIKOMBOA AFRICA wakati tulikua hatujiwezi kiuchumi. Hilo nalo ni kosa alilofanya mwalimu.

Kwa ufupi ANGEAMBILIKA tungekua mbali sana.

Ukabila na Udini ni sehemu aliyofanikiwa sana Hongera kwa hilo

Kiswahili na umoja wa kitaifa pia alifanya vyema

Elimu, sie tulisoma bure, asante Mwalimu RIP.

Alikandamiza DEMOKRASIA, pia tukubali alipenda u STALIN sana.

Mwalimu alikuwa anapenda sifa jamani hilo ni kweli.
Hilo la Mwalimu kuwa HAAMBILIKI lilitokana na misimamo yake katika baadhi ya mambo ambayo hata waliokuja kuyakubali hayakutusaidia sana. Sanasana tumeibiwa kwelikweli. Angalia tulivyokubali kubinafsisha kila kitu na manufaa yake kwa MTANZANIA wa kawaida.
Tumewaleta wageni sasa kwenye madini, vitalu vya uwindaji, mabenki, TBL, viwanda vya nguo, simu,...., niambie nchi inanufaika kivipi. Haya, wamekuja akina MlimaniCity, Quality Mall, Watanzania ni vibarua tu huko. Yule bwana wa GAPEX alikuwa anaitwa Nyakyoma. Hakupelekwa kungine baada ya kuvurunda pale. Yupo hapa mjini anaoza taratibu.
Vita ya Kagera ilikuja kazi ya Ukombozi wa Africa imeshaisha imebaki South Africa tu.
 
Ji habari reeeefu halisomeki, wala sina muda wa kulisoma, kwa kifupi:

Kwanza kabisa mimi sikubaliani na hilo "baba" wa Taifa, huo ni ukatoliki na hutumika kanisani kuwaita wachungaji "baba", kumuita "papa" "baba" mtakatifu.

Hii nchi Nyerere aliikuta ina watu wa imani tofauti na ameondoka ametuwacha watu wa imani tofauti, kwanini mtubambikie vyeo vya kikatoliki na Kikristo? hamuoni kuwa huo ni "udini" wa wazi wazi?

Hakuna "baba" wa Taifa, huo ubaba alipewa na nani na kwa ridhaa ya nani? msitujaze ujinga

wewe ulistahili kuolewa na Osama,maana udini umekukaa hadi kwenye mbunyeozi datafesi.Pole sana waweza kumuita Padre Nyerere kama hutaki kumuita Baba wa Taifa.
 
ETI BABA WA TAIFA !!!!!!!! kuna mijitu inapenda kutukuza mtu eti wanampa heshima huko aliko hana heshima hata kidogo heshima yake iliisha siku alipo pigiwa mizinga 12 baada ya hapo hana heshima tena na ndio maana wana sema watu wakatoe heshima zao za mwisho lakini kwa upande mwingine nisiwalaumu kwasababu hata yesu mulimpa heshima kuwa yeye ni mungu kwahiyo huu ni muendelezo
"wewe ni baya lisilotuzuru, yaani jema lisilotufaa"
 
Kwa nini Nyerere alipora sekondari za Bukoba,Mbeya na Kilimanjaro na kuwasomesha wanafunzi wa Lindi,Mtwara na kwingineko???
Kwa nini Nyerere alituunganisha na Wazenji wavivu??????????
Baadhi ya mambo yaliyomsaidia Mwalimu kuinganisha TANZANIA na WATANZANIA ni haya:
-Elimu ya sekondari, vyuo na vyuo vya elimu ya juu.
-Vijiji vya Ujamaa.
-Jeshi la Kujenga Taifa.
-Lugha ya Kiswahili.
-CHAMA kimoja cha SIASA!
-Ajira kwenye taasisi na mashirika ya UMMA na serikalini kwenyewe
-Yote hayo hapo juu yakawakutanisha watu wakaoana bila kujali makabila wala DINI zao.
Tukawa na hii TANZANIA ambayo sasa tumeanza kuibomoa kwa kasi ya ajabu. Yangu macho.
 
The problem with guys is that…you do not know yourselves oryour enemies; and you are dreaming of wining the 'war' and conquer the World.Never on Earth!!!!

Sawa alipewa kanisani huo ubaba wa taifa nashangaa unang'aka nn wakati ww mamboya kanisa hayakuhusu...nendeni na nyie misikitini mumpe wa kwenu usheikh,ualhaji, uimam, umaalim (whatever u call) wa taifa. Uone kama kuna mkristoatalalamika.

sulphadoxine,

Mwingine huyo. Haikua na haja ya kumjibu mtu kama Faizafoxy.
 
Wakuu WildCard na Mchambuzi,

Wildcard, kwenye vita umekosea ndugu yangu sikua mdogo nilikua kijana. Pale Mwalimu alichemsha.

Samahani, nilikosa kidogo mjadala huu wa Vita; unaposema Mwalimu alichemsha vita vya kagera una maana gani? Tunafahamu vita vile viligharimu taifa Dollar Millioni 500 za kimarekani kwa wakati ule, je unaposema alichemsha ni terms of costs ($500million)? In terms of uamuzi wa kuendelea na vita mpaka Kampala badala ya kuishia mpakani? both? neither of the above...?
 
Wakuu WildCard na Mchambuzi,

Baba wa Taifa alikuwa HAAMBILIKI. Vijiji vingi ya Singida na Dodoma unavyoongelea ni vya UJAMAA na ndivyo vimekufa. Kwenda vijiji vya ujamaa kulifanywa bila tahmini na research ya kutosha. Mwalimu aliiga kila kitu Urusi na China bila ku LOCALIZE.

Wildcard, kwenye vita umekosea ndugu yangu sikua mdogo nilikua kijana. Pale Mwalimu alichemsha.

Wasomi walikua kidogo nakubali lakini alikua na nafasi ya kuwaleta wageni watusaidie. Tatizo alikua na ujamaa wa kufikirika. Anacopy bila kufikiria mazingira halisi. Hao akina Mwapachu na Kaduma walikuwa wakitoka hapa pamekufa (yule wa GAPEX nimemsahau) walikuwa hawafungwi!, sijasema walikua wanaiba. NO Namfahamu Mwapachu ni mwadilifu sana (BAkari).

Vita vya Kagera tulijazwa propaganda. Sisi ndo tulikuwa tunataka KUIKOMBOA AFRICA wakati tulikua hatujiwezi kiuchumi. Hilo nalo ni kosa alilofanya mwalimu.

Kwa ufupi ANGEAMBILIKA tungekua mbali sana.

Ukabila na Udini ni sehemu aliyofanikiwa sana Hongera kwa hilo

Kiswahili na umoja wa kitaifa pia alifanya vyema

Elimu, sie tulisoma bure, asante Mwalimu RIP.

Alikandamiza DEMOKRASIA, pia tukubali alipenda u STALIN sana.

Mwalimu alikuwa anapenda sifa jamani hilo ni kweli.
Umeishia Darasa la ngapi chalii? Mbona unaji-contradict mwenyewe hapo kwenye red panakuhusu.


Ni bora yeye aliiga,bahati mbaya akafeli (in very minute percentage that can,t be defined).Mwinyi aliwaleta kutusaidia au Aliwauzia kabisa kila kitu-Loliondo gate ya Mwarabu toka UAE.Jakaya Kikwete Kapewa Suti katepeta anashindwa hata kuwakemea amebaki ndiyo mzee.IPTL,Richmond(alijua kila kitu kadiri ya Lowassa) hivyo aliwaleta watusaidie amethubutu,ameweza amesongeshwa mbele kuibomoa nchi.Muasisi wa Udini,matabaka,ubinafsi chako ni chako yaani laana mzuka!!!M

uislam Pekee na mbaye anamtambua Mwalimu kwa sababu Elimu na Taaluma yake sio-ya-kuchakachua ni Dr.wa ukeli Dr.Salim Ahmed Salim ambaye Mzee ruksa ali-trick akamzunguka aupate ukuu wa nchi,lakini hakuwa,asingekuwa na hatakuwa chaguo la watz kama JK,na ndio maana JK hataki mkumwita Baba wa Taifa Mwalimu. Na asipotubu dhambi alizomsingizia Dr.Salim nchi lazima impakate tu!!!!
 
Hilo la Mwalimu kuwa HAAMBILIKI lilitokana na misimamo yake katika baadhi ya mambo ambayo hata waliokuja kuyakubali hayakutusaidia sana. Sanasana tumeibiwa kwelikweli. Angalia tulivyokubali kubinafsisha kila kitu na manufaa yake kwa MTANZANIA wa kawaida.
Tumewaleta wageni sasa kwenye madini, vitalu vya uwindaji, mabenki, TBL, viwanda vya nguo, simu,...., niambie nchi inanufaika kivipi. Haya, wamekuja akina MlimaniCity, Quality Mall, Watanzania ni vibarua tu huko. Yule bwana wa GAPEX alikuwa anaitwa Nyakyoma. Hakupelekwa kungine baada ya kuvurunda pale. Yupo hapa mjini anaoza taratibu.
Vita ya Kagera ilikuja kazi ya Ukombozi wa Africa imeshaisha imebaki South Africa tu.


WildCard,
Namibia na Zimbabwe?.

ukitaka kujua kwanini tu vibarua huko kwenye ma malls angalia tu hii thread. Angalia Faizafoxy angalia na wanaomjibu na jinsi wanavyopingana. Malizia na kuangalia alieanzisha thread aliweka mada gani mezani.
Je unataka kuwapa hao kampuni waiendeshe? si watasahau objective ya kampuni?, mwisho inakufa kama GAPEX, NAFCO, MWATEX, SUNGURATEX, MUTEX, etc.

Wabongo tu wavivu sana. Ila kwenye UMOJA wa kitaifa Mwalimu did the best.
 
Back
Top Bottom