Recent content by Kilobyte

  1. Kilobyte

    JamiiForums Tanzania Yesu sio Mungu

    Au ka vp tumsubr akirudi tumuulize atujibu
  2. Kilobyte

    JamiiForums Tanzania Ni biashara gani ambayo huelewi faida wanapata vipi?

    Umeua kila kitu
  3. Kilobyte

    JamiiForums Tanzania Naombeni msaada wa makadirio ya nyumba hii hasa msingi. Eneo ni tambarare

    Location ndo inaamua bei ya materials na ndo itakupa gharama za makadirio. Kwa sasa unatakiwa kujua unahitaji tofali ngapi, mchanga+cement kias gan etc
  4. Kilobyte

    JamiiForums Tanzania Mbona malalamiko mengi kwenye nyumba za kuficha Bati (Hidden Roof), Mafundi wanakosea nini hadi zinavuja?

    Leo kazi ipo. Ngoja aje fundi maiko tumckie naye
  5. Kilobyte

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi ya ulinzi

    [emoji23][emoji23][emoji23]
  6. Kilobyte

    JamiiForums Tanzania Msaada: Niliingia mkataba wa bajaji kwa miaka miwili, baada ya miezi 20 nimepokonywa bajaji

    "mkataba wa mdomo!!!! " hapo Achana nae. Okoa muda na nguvu zako. Chukulia kama somo "learned hard way" Tafuta jambo jingine ufanye. Mtalipana kwa Mungu
  7. Kilobyte

    JamiiForums Tanzania Nyumba ya container mpaka kibanda cha mabati

    Ama kweli kila mtu na Muda wake wa kutoboa. Naona story yako imejirudia kwangu. Ni miezi kadhaa sasa na Make >1M per month. Soon nitaanza ujenzi wa nyumba full yenye hadhi In shaa Allaah Amakweli kila jambo na wakati wake
  8. Kilobyte

    JamiiForums Tanzania Kumbe mpaka Morogoro UKIMWI pia upo

    Ndo mana yule dada alisema kuna watu na viatu, nina wasiwasi na huyo jamaa yako
  9. Kilobyte

    JamiiForums Tanzania Kumbe mpaka Morogoro UKIMWI pia upo

    Huko lazima upitie japo mara moja ktk maisha 😁😁
  10. Kilobyte

    JamiiForums Tanzania Kumbe mpaka Morogoro UKIMWI pia upo

    Kansa wanasema wanapata Wamarekani tu, huku ni presha na sukari
  11. Kilobyte

    JamiiForums Tanzania Kumbe mpaka Morogoro UKIMWI pia upo

    Inategemea na location. Mbinguni bado haujafika nadhani. Ila kila penye wapenda shumbwela upo
  12. Kilobyte

    JamiiForums Tanzania Inception: Movie ngumu ya Leonardo DiCaprio isiyochuja

    Interstellar, Edge of tomorrow na inception zipo top ktk best sci-fi movies of all time. Wapenzi wa sci-fi wote tunapenda hizi vitu. Bado naendelea kuzirudia
  13. Kilobyte

    JamiiForums Tanzania Kumbe mpaka Morogoro UKIMWI pia upo

    Tukiacha uchumi utawachumu
Back
Top Bottom