KWA wapenzi wa muziki watakumbuka kuwa bendi ya Empire Bakuba ilianzishwa na watu watatu, marehemu Joseph Kabasele Yampanya 'Pepe Kalle', Papy Tex na Dilu Dilumona miaka ya 1970.
Lakini, pamoja na bendi hiyo kuasisiwa na watatu hao na baadaye kupewa nguvu na Jojo Ikoma, ni vigumu kutaja...