Recent content by Kilemachocho

  1. K

    Swali: Ni kwanini urefu wa milima unapimwa kutoka usawa wa Bahari?

    Vipi kama Tanzaniania tusingekuwa na bahari urefu wa mlima Kmajaro ungepipimwa kuanzia wapi?? na kwa mfano mlima Kilimanjaro ungelikuwepo Kongo Ndio kusema kimo chake kingepiwa kuanzia usawa wa bahari ya hapo Dar es salaam?
  2. K

    Fahamu jinsi ya kuchagua TV nzuri itakayokufaa kabla hujanunua

    Mkuu ninataka kuchukua hii kitu ila naona kama specification zake ni chache pia hata details za resolution hamna. Pls advise.
  3. K

    Mti wa mbaazi unavyotumika kwenye uchawi na tiba ya maradhi

    Wakuu nafanyeje kuzui chuma ulete kupitia mmea huu wa mbaazi?
  4. K

    Ukiwa nyumbani halafu huna kazi

    Usiombe tena ukawa sio mtoto wa kuzaliwa kwenye hiyo familia unaambiwa mnanenepeana tu hapa mnakula maharage ya buree.Fance ya michongoma inakuhusu(Yamenikuta Haya) [emoji23] [emoji23]
  5. K

    Wale ambao hatutampigia kura mgombea yeyote wa CCM tukutane hapa

    Mpaka naingia kaburini ccm haitopata kura yangu. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. K

    UFISADI: $350 million stolen from Tanzanians in Vodacom scandal

    aa Sent using Jamii Forums mobile app
  7. K

    Ndugu Kabudi ukitaka kupata Kiharusi jaribu kupambana na Lissu

    Sifa nyingine ni kutoa macho Sent using Jamii Forums mobile app
  8. K

    kizazi cha kuhoji tusichoke leo rais kaonyesha kutukubali japo hajakili wazi wazi.

    Lazima tuhoji,ni kwa nini Siku TL anapigwa risasi 38 kati ya hizi 16 zikaingia mwilini mwake wale walinzi wanaolinda makazi ya wabunge hawakuwepo ??? Sisi sio wajinga Sent using Jamii Forums mobile app
  9. K

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Toka saa 12:40 jioni tunanunua umeme kupitia simu huduma haipatikani.Hebu tuambieni Kuna tatizo gani??? Sent using Jamii Forums mobile app
  10. K

    Viwanda zaidi ya 3600 vimejengwa katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita.

    VI-WONDER VYA USHUZI Sent using Jamii Forums mobile app
  11. K

    Elia Michael: Kupona kwa Tundu Lissu kumetibua mipango iliyokuwa imepangwa

    Kukiwa na uangalizi wa kimataifa na tume huru ya Uchanguzi bila shaka watanzania kwa Mara ya kwanza tutapata Raisi kutoka upande wa pili.Raisi wa mioyo ya Watanzania.Hawa wafadhili naomba kila kukicha waweke shinikizo zito ili mambo yaende sawa. Kwa bwana yesu kila Goti litapigwa. Sent using...
  12. K

    Mkutano wa wakuu wa nchi za Afrika(AU) unaendelea mjini Addis Ababa. Rais wa Tanzania amejifungia nyumbani

    Tumeibiwa sanaaaaa chini ya chama hiki hiki cha ccm.Hakuna jipya. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom