Dah! yule mzee alisema upepo ukivuma tutaona utupu wa kuku sasa tutaona hata wa kanga...kumbe ccm ndo madudu yenu mnayoyafanya kila anayeondoka mnamtuhumu mhh nadhani hata akihama magu mtamtuhumu...viva lowasa
Jamani mtanzania mwenzetu anaomba msaada kwetu tunaleta mzaha.Mtoa post afya ya mtu haidhiakiwi na kumbuka mwenzio ana ndugu zake wanaosoma ujinga wako ulioleta hapa but hakuna mwenye hatimiliki na maisha yake.MUNGU akusamehe na akupe hekima ya kutafakari kabla hujapost.
ccm hongereni kwa kuwatoa watu kwenye gongo na kuwaleta kwenye viroba kwa kasi mpya nguvu mpya na ari mpya sasa mnawaambia kazi tu wakati viroba vimewamaliza cjui hiyo kaz watafanyaje.
Eti fisi wana garama ya shilingi ngapi?Soko la fisi lipo wapi mpaka bei ya fisi inajulikana wamekua mbuzi na ng'ombe mnadani hii sasa hatari!!!.Inakuaje serikali ya ccm inajua bei ya fisi duu kumbe ndo maana waliuza wale twiga na tembo.
jaman kuna mama ametukana kwenye gari walkua wanalumbana kati ya magufuli na lowasa nani apewe kura basi mama mmoja wa upande wa lowasa akasema hatuwez kumpa kura uncircumsized person.
Mkuu viongozi wetu hapa Tanzania hawaheshimu wananchi wao mfano tu kumtukana mwananchi kwa kumwambia bora ale nyasi ndege ya presda inunuliwe au malofa hii inaonesha wazi viongozi wetu hawatuheshimu.
kazi tu mama ntilie wanavunjiwa vibana na kumwagiwa biashara zao,kazi tu waalimu na madaktari mishahara yao hawajalipwa na posho zao.kama muadilifu hata rungwe na anna ni waadilifu kwani wana kashfa gani wachagueni basi....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.