CHADEMA kimenuka Mbeya

CHADEMA kimenuka Mbeya

Laiti kama ungelijua yaliyomkuta magufuli huko mbeya leo wala usingepost kitu leo,maana ni aibu kazomewa mpaka akawa anajipapasa mwili mic iemekuwa mzigo,watu lowasa lowasa tunataka mabadiliko sio kwako kwa Lowasa
 
Urais ni taasisi ya kutumia akili wala si nguvu! push up za magufuri anafaa kuwa mlinzi wa ikulu na si rais.
 
Magufuli hawezi kurudi tena Mbeya we gamba hatasahau yalio mkuta niko MBY
 
MzikiWaMagufuli umeanza kuwashinda.....Mnaanza kuchanganyikiwa baada ya kufanya harambee iliyotumia millioni 150 kuifanikisha katika ukumbi wa Mlimani City zikapatikana Milion 80 kwasasa mmeanza kusalimu amri kwa kufanya mikutano mingi zaidi nyumbani kwa viongozi wa juu wa CDM huku DKT. MWANAHISABATI NA KEMIA akiendelea
 
Yaani kimjamaa kimejiunga hizi Tu kupost utumbo! Bodaboda Cdm wapi na wapi kisiasa.
Cdm inataka kusaidia bodaboda bila kujali Ni chama gani.
 
Magufuli kilichomkuta leo mbeya sijawahi ona. Misimamo iko huku bana.
 
Viongozi wa 4um na viongozi wa boda boda wa mkoa wa mbeya wameamua kuhama chadema na kujiunga na ccm kutokana na mambo maovu yanayo endelea ndani ya chadema na ukawa kwa ujumla hali hyoo imekwa ikiendelea kwa muda mrefu jambo ambalo limepelekea sintofaham ya viongoz hao wa 4um na kushindwa kueshimiana kati ya viongozi wa cdm na viongoz hao wa 4um kwa kauli yao moja wamesema watahakikisha wanampigania dr, magufuli na kumnadi nyumba kwa nyumba hadi kieleweke na mwishowe kuibuka na ushindi wa kimbunga,,,, tumekuja pahala salama kabisa na sehem ya kwenda ikulu......................

Sio Sugu tena kuhamia CCM kama mlivyokuwa mmetapakaza?
 
Viongozi wa 4um na viongozi wa boda boda wa mkoa wa mbeya wameamua kuhama chadema na kujiunga na ccm kutokana na mambo maovu yanayo endelea ndani ya chadema na ukawa kwa ujumla hali hyoo imekwa ikiendelea kwa muda mrefu jambo ambalo limepelekea sintofaham ya viongoz hao wa 4um na kushindwa kueshimiana kati ya viongozi wa cdm na viongoz hao wa 4um kwa kauli yao moja wamesema watahakikisha wanampigania dr, magufuli na kumnadi nyumba kwa nyumba hadi kieleweke na mwishowe kuibuka na ushindi wa kimbunga,,,, tumekuja pahala salama kabisa na sehem ya kwenda ikulu......................

Opinion polling for Tanzania General Presidential Election 2015
[TABLE="class: MsoNormalTable, width: 100"]
[TR]
[TD="width: 120"]
Mh. Dr. John Pombe Magufuli (CCM)
[/TD]
[TD][/TD]
[TD="width: 40"]
16.8%
[/TD]
[TD="width: 30"]
2449
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 120"]
Mh. Edward Lowassa (CHADEMA)
[/TD]
[TD][/TD]
[TD="width: 40"]
81.9%
[/TD]
[TD="width: 30"]
11961
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 120"]
Other
[/TD]
[TD][/TD]
[TD="width: 40"]
1.4%
[/TD]
[TD="width: 30"]
199
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Total Vote 14609
- See more at: VOTE ONLINE FOR TANZANIA PRESIDENT | #VOTE4TPO | Mayocoo , Special Voting portal
 
jaman kuna mama ametukana kwenye gari walkua wanalumbana kati ya magufuli na lowasa nani apewe kura basi mama mmoja wa upande wa lowasa akasema hatuwez kumpa kura uncircumsized person.
 
Back
Top Bottom