Rostam na Lowassa, msaidieni Meshack wa Channel 10!

Rostam na Lowassa, msaidieni Meshack wa Channel 10!

Kwa kweli umeniaibisha. Sasa nadhani urudi nyumbani ukaanze kushalila migomba. Umbea wa mjini, ni wa kisomi. Unahitaji ka utafiti kidogo. Utafungwa. Kabla hayajakukuta, bora ukalime.

Acha wehu wewe, mie kama nani kwako? kama hauwezi ukafeel sympathy kwa hari hii huna haja ya kuwa karibu na mie katika aina yoyote ya maisha kwasababu sitaki ukaribu wa kinafiki so far.
 
Rweye nadhani umekurupuka na kuandika ujinga.
1/Meshack Nzowa ni mmtangazaji wa TV1.
2/Rostam Aziz sio mmiliki wa channel ten.

*Tusidhihaki afya za watu, meshark Nzowa alipata ajali mbaya sana, kwa sasa anatafuta pesa ili apelekwe haraka India ili kuokoa maisha yake, mtu yoyote anaweza kumchangia. Ugonjwa wake usiwe ni sababu ya kuwadhihaki wengine.

Bora umemchana live bila chenga mkuu.
 
Meshack yupo TV 1 '' inamilikiwa na rostam?? Au.hujatafiti vzr kabla ya kupost
 
huyu mkurupukaji katokea ccm anataka kumuonganisha meshaki wa tv1 na lowassa ameaibika .anatafuta kick.
 
Jamani mtanzania mwenzetu anaomba msaada kwetu tunaleta mzaha.Mtoa post afya ya mtu haidhiakiwi na kumbuka mwenzio ana ndugu zake wanaosoma ujinga wako ulioleta hapa but hakuna mwenye hatimiliki na maisha yake.MUNGU akusamehe na akupe hekima ya kutafakari kabla hujapost.
 
Halafu watanzania hao hao wanaotaabika na huduma za afya ndio utawasikia kila siku hapa kazi tu. Ndio maana tunasema mabadiliko ni sasa,mabadiliko ni Lowassa uzembe wa namna hii hautakuwepo tena!

Sitashangaa hata yule wa dakika 45 wakambwaga hivyo hiyno akipata shida.
 
Hivi Hii Sheria Ya Mitandao Ni Kwa AJILI Ya Nani!!!!!!!!???? Maana Kuna WATU Humu Kazi Zao Ni UCHOCHEZI, CHUKI, FITINA, MAJUNGU, UDHARIRISHAJI, UPOTOSHAJI N.k. Lkn Hawaguswi Kabisaa!!!!!!!!!???? Au Kwa Vile Wameandaliwa Mahususi Kulinda Na Kutetea Upande Wenye MAMLAKA!!!!!!!!???? Hivi MESHACK NZOWA Amerudi Lini CHANEL TEN??? Maana Kila Siku Alikuwa Akisoma Hbr. TV 1!!! Sasa Kusema Ni Mfanyakazi Wa Kituo Cha CHANEL TEN, Sijui Mtuma Uzi, Ameipata Wapi!!! ALAFU Hili La Mmiliki Wa VITUO Vya CHANEL TEN, MAGIC FM Ni Huyo Aliyemtaja, Mhhhh!! KWELI Huu Mwaka Tuambiwa Mengi Mno!! Nimeona Tangazo La Kuombea MSAADA Huyo Mgonjwa, Linasema ALIYEKUWA MTANGAZAJI Wa CHANEL TEN!! Halisemi MTANGAZAJI Wa CHANEL TEN!! ALAFU Mbona Ninyi Watu Ambao Mna Maslahi Na CCM, Mnachezea Afya Za WATANZANIA!!! Mtu Amepata Ajali, Ameumia Vibaya Mno, Hivyo Inahitajika Kupatiwa Treatments Zaidi Nje Ya Nchi!! Leo Watu Wanajaribu KUOMBA Misaada Kwa WATANZANIA, Wamsaidie Mwenzao!! Mleta DHIAKA Na DHARAU Zenu!!! Ili WATANZANIA Wasimsaidie!! Siasa Ktk. Uhai Wa WATU, Ni Hatari Mno!! Hivi Laiti Hivyo Vituo Vingekuwa Vinamilikiwa Na Huyo Uliyemtaja, Pia Ana Urafiki Na Huyo Uliyemsema!! Why Kituo Cha Kiwe Ndio Jukwaa La KUMDHARIRISHA, KUMTUSI, KUMKEJELI, KUMJENGEA CHUKI N.k Kwa Kumualika HAMPHERY POLEPOLE Kila Siku!!!!??? Huo USWAHIBA UKOJE!!!!!!!!!???? Yaani HOJA Dhaifu, Hazina MASHIKO Kabisaa!!!!! HEBU Ninyi Tulieni Tu, 25 Oct. Ni 2 Weeks Only Remain!! MPATE Dawa ZENU!!!
 
Tulishuhudia mnagawa pesa kuanzia ndani mpaka nje, misikitini mpaka makanisani, kwa maaskofu mpaka mashekh n.k. Huyu ni mfanyakazi na mtangazaji wa Channel 10 ambayo inamilikiwa na Rostam ambaye ni rafiki wa Lowassa, si mwingine, ni Meshack Nzowa.

Nampa sana pole kwa kuumwa Nzowa lakini nawakumbusha matajiri wake, mahodari wa kutoa, wamsaidie kiasi cha pesa kinachohitajika ili aweze kwenda kutibiwa nje ya nchi, msijifanye hamna pesa ama hamuelewi yaliyomkuta!

Msaidieni ama sivyo hii ni aibu kubwa kwenu nyie wawili, hauwezi ukampenda Mungu usiyemwona na aliye mbali na wewe halafu ukaacha kumsaidia mtu aliye karibu yako sana.
Hahahaha hao kawaida yao kuwatumia tu waandishi wakishakuwa na kazi zao za kijinga wanawasamini ndio maana nasemaga kila siku waandishi waache kutumika........
 
Sadaka hawaombi kwa njia hiyo Bro kama umetumwa kumchafua mtu umecherewa bro
 
Halafu watanzania hao hao wanaotaabika na huduma za afya ndio utawasikia kila siku hapa kazi tu. Ndio maana tunasema mabadiliko ni sasa,mabadiliko ni Lowassa uzembe wa namna hii hautakuwepo tena!

Sitashangaa hata yule wa dakika 45 wakambwaga hivyo hiyno akipata shida.
Khaa!! Njomba chio chila chitu ni chiacha. Kuna tatizo hapa sasa hivi na linataka litatuliwe now! Hayo mengine ya kitumwa yalete baadae
 
Khaa!! Njomba chio chila chitu ni chiacha. Kuna tatizo hapa sasa hivi na linataka litatuliwe now! Hayo mengine ya kitumwa yalete baadae

Hii wala si Rohombaya, ila kuna muda ambao ni muafaka kufikisha ujumbe, hasa pale wakati watu wasiopenda kusikiliza ukweli wakiwa wako tayari kuusikiliza.

Mchango nitatoa.
 
Last edited by a moderator:
Acha wehu wewe, mie kama nani kwako? kama hauwezi ukafeel sympathy kwa hari hii huna haja ya kuwa karibu na mie katika aina yoyote ya maisha kwasababu sitaki ukaribu wa kinafiki so far.
Mshamba, unakaa wapi ndugu yangu. Kyakailabwa au? Au Buzi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom