Miaka ile tulikula bata huku tukitamani maendeleo, sasa hivi maendeleo yanapatikana huku tunatamani bata. Kibongo bongo ni familia chache sana zenye uwezo wa kujenga nyumba huku bata likiendelea, wengi tunapitia kile kipindi cha tukaze mkanda tukiwa tunafanya jambo kubwa la maendeleo. SGR...
Milioni 6 ni wastani wa ng'ombe 10 tu. Sisi tukioa tunatoa ng'ombe kuanzia 50 mpaka 600. Wewe hela ya ng'ombe 10 tu tena awe mchepuko unakuja kulialia jf. Hebu pita hivi
Kuna baadhi ya wasanii wakike wakitambo kile sanaa iliwasaidia kujulikana sana na kufanikiwa kupata waume wakutulia nao, huenda ikawa nae alibahatika...starathomas, rahaP, besta, n.k
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.