FAJES
JF-Expert Member
- Oct 29, 2017
- 715
- 627
Wakuu,
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyoonesha. Ntasafiri kutoka Dar kwenda Mbeya siku ya ijumaa tarehe 7 Dec
Ila hata akipatikana wa Njombe au Makambako bado si mbaya. Kama yupo naomba tuwasiliane PM au kupitia namba niliyoandika hapa mwisho.
Abiria tupo wawili na tutalipia gharama za Usafiri. Natanguliza shukrani.
Contact:
FAJES.
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyoonesha. Ntasafiri kutoka Dar kwenda Mbeya siku ya ijumaa tarehe 7 Dec
Ila hata akipatikana wa Njombe au Makambako bado si mbaya. Kama yupo naomba tuwasiliane PM au kupitia namba niliyoandika hapa mwisho.
Abiria tupo wawili na tutalipia gharama za Usafiri. Natanguliza shukrani.
Contact:
FAJES.