Huyu anayeongelewa Mier Dagan ukitaka kujua shughuli yake nenda Google au u tube utakuta. ..ni kiongozi hatari sana wa mossad ila alifariki mwaka 2013 kama sijakosea ila jamaa alikuwa amebobea
Mdau SEGUSO ebu soma vizuri uzi wako kuna vitu hujaweka sawa kama kumbukumbu za huyo Tido huo mwaka alikuwa bado kabsa BBC kwa ujumla umeandika kwa hisia na makosa mpk uzi haueleweki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.