Recent content by kikwesha

  1. K

    Je, naweza kumshitaki mzazi mwenzangu?

    Mpe mtoto achana na mambo ya kulialia
  2. K

    Mossad/ Kidon hawa Ni Wauaji Wabobezi Duniani. Ni Robots waliofundishwa Kuua kwa kila aiya ya kifo

    Huyu anayeongelewa Mier Dagan ukitaka kujua shughuli yake nenda Google au u tube utakuta. ..ni kiongozi hatari sana wa mossad ila alifariki mwaka 2013 kama sijakosea ila jamaa alikuwa amebobea
  3. K

    Famila ya Marehemu Fidel Castro

    Castro alikuwa hatari sana..... wamarekani wakawa wanaona immigrants kutoka Cuba wanapapatika kumbe jamaa anawapanga tu
  4. K

    Wana JF, hivi huyu Mzee Datsun Tido Mhando anjitambua?

    Mdau SEGUSO ebu soma vizuri uzi wako kuna vitu hujaweka sawa kama kumbukumbu za huyo Tido huo mwaka alikuwa bado kabsa BBC kwa ujumla umeandika kwa hisia na makosa mpk uzi haueleweki
  5. K

    Naombeni CV ya Miss Tanzania 2016

    Wewe kweli hajielewi....hujui haya ni mashindano yenye kubeba au kuwakilisha nchi yetu?
  6. K

    Askari wa usalama barabarani akiwa amejificha kwenye kichaka na tochi yake ya kupima mwendokasi

    Huyo dawa yake unamtupia nyoka......hapa hatulalamiki tu tunaangalia pia usalama wake yeye huko vichakani
  7. K

    Taratiiibu nimeanza kumuelewa Mama yetu kwanini hakuchangamkia kampeni!!!

    Acheni jamaa afanye kazi wazee...tuache porojo na siasa za kushikishana ukuta
  8. K

    Visichana vya siku hizi, vimeharibika kweli kweli

    Beauty Eva kwa kwel hujawatendea haki wasomi wenzako na huo usomi wako......hayo maswali ulihisi umesaidia kweli?????
  9. K

    Makamanda wamdindia Lowassa. Wasema kama amechoka CHADEMA arudi alikotoka

    Kiongozi wa CDM alikuwa Dr tu hao walobaki wapigaji tu kama wengine....nashangaa hawatumbuliwi
Back
Top Bottom