Recent content by Kikochi

  1. K

    Udhalimu wa Utumwa Zanzibar na Pemba: Mababu zetu waliteswa, walihasiwa, walibakwa, na kuuawa kinyama

    Pasco Kama unaijua na kukuuma Zanzibar njoo na history ya Zenj Empire, Mwarabu hakuvamia na kuiba visiwa mnavoviita vyenu vya unguja na Pemba. Pia kumbukumbu zinaonyesha bila ya Mwarabu usingekua Mkristo leo, rudi tena shule update your history nani kamdhalisha mnyika na hao babu zako.
  2. K

    Hivi uchaguzi ukirudiwa Zanzibar CUF watafanyaje?

    Kurejea uchaguzi ni sawa tu nakuhalalisha haramu iliyotukuka, uchaguzi tulishafanya zamani tangu trh 25 na ulimaliza tarehe hiyo cc wapemba hatuingii uwanjani tena na haswa ukizingatia ccm hawajawahi kupata hata kiti kimoja hata kile kisichokua na mamlaka makubwa kwa huku cha udiwani since 1995...
  3. K

    Ukweli wa historia ya mapinduzi ya Zanzibar yakimuhusisha mtu asiye maarufu sana, John Okello

    Ahsante yeriko, kwa taarifa yako ss wazanzibar hususan wapemba tunajua yote hayo, mtoto akifika umri wa miaka25 lazima ajue Hilo, huwa tunafunzwa kupitia family zetu, kwa taarifa yako baba yake Hamad rashid ndio alompokea na kumchorea michoro okello!
  4. K

    Masters inalipa Sana katika ajira kwa sasa?

    Namaliza master of sci. In account naamini by April this yr nitakua nishasubmit desertation na ndio mwisho wamda, vile vile nimuajiriwa kule smz but now nipo dom ila naamini wakuu nitaenda kupokea not more than 6 hundred thousand, iwapo Kama kuna chance at any post in you plz 0713567751 I'm...
  5. K

    Hali ya Kisiasa Zanzibar: Maalim Seif aongea na Vyombo vya Habari - Jan 11, 2016

    Usimzarau mtu ambae anaweza kuyashawishi mataifa makubwa duniani kuzuia ruzuku na misaada kwa nchi yake au taifa lake na mataifa yakatii! Maalim seif sio mtu wakawaida jamani wacha tumsikilize anamaono gani hapo kesho!
  6. K

    Hali ya Kisiasa Zanzibar: Maalim Seif aongea na Vyombo vya Habari - Jan 11, 2016

    Maalim Seif Sharif Hamad (a.k.a heavy weight politician in Africa) utamjua tu Kama kweli wewe ni mwanasiasa, alishindwa mwalimu nyrr iweje hawa vitukuu na vilembwe! Maalim seif sharif Hamad ndio mtu pekee aliependekeza memorundam of understanding of multipatism in tz 1983, kwa tz yaleo hakuna...
  7. K

    The Zanzibar political paradox: Mapinduzi sasa yamekosa mashiko?

    Mleta Uzi kaa kimyaaa huna unalojua, muongo mkubwa wewe, unatumiwa Kama tissue kisha unatupwa! Unajua mapinduzi yalifanywa na nani kule Zanzibar? Unajua nani alopindua kule? Unajua nani anawakandamiza wazanzibar tokea 1964?
  8. K

    Wazanzibari walioko Somalia waandamana

    Pumbavuu wewe nyau Zanzibar nikwetu wacha kitokee chakutokea itafika wakati tutakabiliana nacho kwaumoja wetu time will tell!
  9. K

    Manji: Nchi yangu hainithamini

    Aende Zanzibar tu ndio atapata thamani! Mji mkongwe ndio wanaishi wahindi
  10. K

    Jinsi ya kutongoza

    Duu ndio mahana nakosa mademu eti, najiliwaza kwa madada wahisani tu wakombozi wa ng,ambo
  11. K

    Ukweli mchungu...Hakuna jimbo ambalo UKAWA wamejihakikishia ushindi!

    Majimbo yote ya Pemba ukawa wana uhakika
  12. K

    Yanayojiri: Mkutano wa Lowassa Kisiwani Pemba - Oktoba 03, 2015

    Hiyo ni uwanja tibirinzi chake chake Pemba, na Hilo jengo bovu nilawizara ya fedha pemba pembeni ni jengo la mfuko wa hifadhi zssf, na hiyo milima ni milima ya ofisi za usalama wa taifa Pemba!
Back
Top Bottom