Wakati Dada anatawala M7 alikuwa kwenye vikundi vidogo vya waasi akiendeleza harakati chini kwa chini. Mara baada ya Nduli kutolewa na majeshi ya Nyerere, akaingia Yusuf Lule, ambaye hakukaa sana Obote akarudi madarakani. Obote alikuja kupinduliwa kwa mara ya pili, safari hii akipinduliwa na...
Jibu nimelipata;
Timu zinaanza playoff season wakiwa na nusu ya points walizokusanya kwenye regular season. Ikitokea nusu ya point hazileti namba kamili wanachukua the nearest above, kwa mfano; timu ikimaliza na 67 points, nusu yake ni 33.5, timu hii inaanza playoff season ikiwa na 34points...
Ligi ya regular season ina time 16, ina kila timu inacheza mechi 30, timu 6 za juu zinaingia kwenye championship playoff league. Kwenye regular season Club Brugge walipata alama 67. Kuna uhusiano gani kati ya alama 45 za playoff league na 67 za regular. Bado sijaelewa, nilijaribu kugugo sijapata...
Nikiangalia msimamo wa ligi hii napata mkanganyiko namna gani wanagawa points.
Kwa mfano;
Club Brugge wameshinda mechi 3, draw 2, wamepoteza 3 wana alama 45, zinatoka wapi hizi?
Tusaidiane hapa tupate uelewa.
Yeye tayari anatimiza jukumu lake kama mwanasia
Yeye tayari anatimiza majukumu yake kama mwanasiasa ambayo ni kushauri, kukosoa, kuhamasisha na kuonyesha njia sahihi. Serikali ina jukumu la kutengeneza mipango na Sera nzuri za kiuchumi ili wananchi waweze kujikwamua kiuchumi, japokuwa yenyewe...
Maisha sio kushindana. Kila mtu anajukumu la kufanya jitihada kwa aliyojaaliwa na Mwenyezimungu ili spate mafanikio ya kiuchumi maishani. Lakini pia ni lazima tukumbuke kuwa "Jitihada hazishi kudra". Hakika Mwenyezimungu huwaruzuku waja wake bila kuhesabu nani kampa kidogo, na nani kampa kingi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.