IQ test: Ukipata ujue una akili nyingi na uwezo wa kupambanua mambo kwa utulivu na usahihi

19
ecfac7969f8b83a70a79dc81813c82e6.jpg
Wote mnakaribishwa.
 
10+5*2=30

Jibu ni 30
___________
sharifusaid angalia tena hesabu zako hujafuata nidhamu ya magazijuto (bodmas)
Thamani za picha umezipatia lakini kwenye mahesabu ndiyo umechanganya kwani ikiwa kuna namba zenye kuzidishwa na kujumlishwa kwenye hesabu basi nidhamu ya MAGAZIJUTO inahusu, yaani MAbano, GAwanya, ZIdisha, JUmlisha, TOa.
Hivyo basi:-
10 + 5 X 2 = 10 + (5X2) = 10 + 10 = 20 jibu.
 
Hivi Ni Kweli Jibu halijapatikana?
Au Mtoa Mada nae hana Jibu anasumbua tuu watu hapa!?
Cc pipi mti!
 
Post ya 189 kila MTU anakosea Tuuu???
Jamaa ana Utani huyu....
Tangu February?
Cc Pipi mti!
 
32 Reactions
Reply
Back
Top Bottom