Recent content by Kijito

  1. K

    Julai 2017: Nyongeza za mishahara na kupandishwa vyeo - Kilio cha Watumishi wa Umma

    Gharama za maisha zipo juu mshahara chali, je pana ufanisi wa kazi hapo au bora liende? Huwez kufanya kaz kwa ufanisi wakati mtu akiwa kazini mawazo kibao kichwani ya namna gani ataendesha family mana asilimia kubwa ya watumishi wa umma wanaishi kwa madeni tu. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. K

    Muongozo na ushauri kwa wanafunzi udahili vyuo vikuu 2017/18

    Sheria au health management. Post sent using JamiiForums mobile app
  3. K

    Ni sawa kununua gari ya TZS 15 Million huku ukiwa unaishi nyumba ya kupanga chumba na sebule?

    Ujenzi wa DSM sio wa hela hiyo na sio wa siku moja pia inategemea wap unataka kujenga mana sehemu nyingine hata hyo 15M bado hujapata uwanja.
  4. K

    Wananchi wamshauri Magufuli kuongoza vipindi vinne mfululizo

    Wasiomwelewa Rais wetu kwa sasa watamwelewa tu kwa badae
  5. K

    Ni lini tunarekebishiwa mishahara?

    Mwezi wa saba 2017 sio 2027
  6. K

    Ni lini tunarekebishiwa mishahara?

    Mwezi wa saba 2027 mkuu, vuta subira bado mwezi mmoja tu mbele yako.
  7. K

    Moshi: Yaliyojiri Mei Mosi 2017, Rais Magufuli amwaga ajira Elfu 52, madaraja kupanda....

    Jamani kasema mambo yote yaliyofungwa yanafunguliwa mwaka kesho yani kuanzia mwez wa saba 2017/2018 msiende mbali kiasi hicho kama ww n mfanyakaz subir mwez wa saba in miez miwili tu bado kuanzia sasa msiwe na hasira kiasi hicho.
  8. K

    Hatimae Flora Mbasha awa Flora Kusweka

    Kama aliweza kumfanyia mbasha umafia kama ule bac hata huyo tusubir yatamjia tu.
  9. K

    NAUZA RAUM YANGU MPYA 8.8 Milion

    Wataalamu wanasema huku sio kuzuri sana kutangaza biashara coz huwezi jua kama ni biashara kweli au ndo vile kama mnavyojua. Ushauri wangu kwamba kama una biashara usitangazie huku nenda kwenye mitandao mingine ya kijamii mana huku biashara inaweza kukudodea lkn sababu zake ckui ila elewa hvyo.
  10. K

    Wanawake uliowaweka kwenye danger zone /anytime utawagegeda

    Mwisho wake utauona tu kwa upande wako, familia yako, ukoo wako, ndugu jamaa na marafiki.
  11. K

    Hivi kuandaa watoto kumshangilia Rais Walimu mnapata faida gani?

    Acha tu wajipendekeze kiyama chao cha kutopandishwa madaraja kesho n mwendelezo party 2 na kuanzia j4 wote watakuwa wamelegea.
  12. K

    Raisi wa jamhuri ya jamhuri ya muungano wa tanzania dr jpm kuhutubia mei mosi mkoani kilimanjaro.

    Wafanyakazi wa umma wana hali mbaya sana kwa sasa yawezekana kesho mei mosi atasema NENO la kuwapunguzia stress watumishi mana wanadhalilika sana.
  13. K

    Ikulu: Rais Magufuli apokea ujumbe kutoka kwa Kagame. Akubali kupeleka Rwanda walimu wa Kiswahili

    Ahsante sana Mkuu, umetangazwa lini na mwisho Lin?
Back
Top Bottom