Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,287
- 10,674
Watu wengi Huwa hawajiulizi hii hesabuMwanzoni nilkuwa natamani sana niwe na kwangu na kweli nikafanikisha, nikawa nmehamia " lakini badae nikaja kupga garama za usafiri nilizokuwa natumia kwa mwezi , nilijikuta natumia pesa nyingi sana kutokana na umbali nipokuwa naishi .. Yaani nilkuja kujikuta hela nayotumia kwenye usafiri kwa mwezi mmoja ,inaweza kulipa kodi ya miezi 6 Kama nikiwa kwenye upangaji " na ukizingatia huko nilpokuwa nmejenga hamna miundo mbinu kama maji,,hospital, umeme .... Nikasema yote ya nini haya saivi npo zangu kwenye upangaji na maisha yamekuwa rahisi zaidi tofauti na nilpokuwa kwangu....