Vyuo vya serikal huangalia ufaulu wa juu kidogo mfano mdogo kuna vyuo MTU wa mwisho alichaguliwa akiwa na div2 ya 19 tena na masomo hitajka alipata BCC Yaan chem B phys C bios C
Je wewe unaufaulu wa ngapi? Tuanzie hapo ili tukupe ushauri
Mkuu kina mbuya songea n wengi sana tena hasa maeneo ya peramiho iliwahi ishi eneo hilo ni wangoni sasa sijajua muingiliano Wa majina haya
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera sana Mkuu tunahtaji watu kama nyie ambao mnaonesha kweli una nia na unachokifanya uthubutu Wa kuja hapa kutueleza juu ya utekelezaji wako
Mimi nakuahid kukupush katiaka project yako ya kuku kwakukupa kuku watano makoo (jike) wadogo kama hao baada ya wiki mbili zijazo kwan nilionao bado...
Mmeanza kumyumbisha mtoa mada tafadhar simamia Mawazo yako binafs ukinipa fursa nichague top 2 ni wafuat
Peramiho yetu
Zero IQ
Mmojawapo anafaa kwan Mawazo yao yanatekelezeka vizuri kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu jamaa nimemfuatilia kiukwel wazo lake linatekelezeka hasa ukiangalia kitu amabacho MTU yeyote anaweza kufanya
Hata asiposhinda namm pia anicheki pm nione namna ya kumsaidia tunahtj Mawazo kama haya
HUYU NDIYE MSHINDI WANGU
Sent using Jamii Forums mobile app
Wazo bora sana hili kwa kijana mwenye uthubutu hii n biashara yenye faida sana hasa kwa maeneo yenye watu wengi nimefanya hiii biashara naifahamu iliponifikisha haihiitaji aibu biashara hii inabid utoe ubrazamen
WAZO BORA KWANGU
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilichogungua mleta mada ana chuki binafs na Liverpool ila kaamua kujifichia kwenye kufananisha EPL na ligi nyingine mm shabik Wa man u ila liverpool itatutoa roho mwaka huu na nadhan tusipojpanga hawa jamaa watatawala sana ligi hii
Rais alisema korosho zote zitabanguliwa lazima tuuze zkiwa processed na alitumia nguvu kubwa kuuaminisha uma juu ya hili hapa je tutauza zkiwa zmebanguliwa Au la
Kitu kingne rais aache kutuongopea alisema Kuwa wahabeshi watatumia bandari yetu je hili suala limefikia wapi?
Mwisho watetezi wa...
Hcho ndicho wanachoweza ccm kwasada sasa kuwekeana visasi umbea na unafiki hyo nape akumbuke aliyowafanyia Watanzania juu ya kebehi zake juu ya bunge asitetewe nape akatwe tu na yeye polepole ajue tu kila zama na kitabu chake asje akatolewa nje ya system akawa mbwabwajaji Kama nape
WATANZANIA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.