Kilemakyaaro
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 5,050
- 5,118
Daah haaaya bwana
Seriously Zimbabwe wanunue Korosho ya Tz wafanye nayo nini?View attachment 1114168
Baada ya Zimbabwe kuonyesha nia ya kununua mahindi na mazao mengine kiasi cha 800,000 kutoka Tanzania, taifa hilo la Kusini mwa Afrika linafikiria pia kuanza kununua mazao mengine kama korosho.
Ujumbe kutoka Serikali ya Zimbabwe utawasili nchini kuanzia siku ya Jumanne ya Tarehe 3 Juni na unatajiwa kuwa nchini mpaka tarehe 7 ya Mwezi Juni.
“Ujumbe huo unakuja kwa ajili ya kuangalia na kujiridhisha kuhusu mambo ya msingi kama ubora wa chakula na mambo mengine ya awali,” Waziri wa Kilimo Japhet Hasunga ameyasima hayo jana wakati wa kikao cha dharura na wakurugenzi wa taasisi na idara mbalimbali za Wizara ya Kilimo.
“Zimbabwe imefikiria pia kuanza kununua mazao mengine kama korosho kwa kuwa imeona fursa ya kupata mazao yenye ubora na kwa bei nzuri ipo Tanzania. Baadae mazao mengine ya mbegu za mafuta, jamii ya mikunde, mboga na matunda yataanza kununuliwa na taifa hilo,” aliongeza Waziri Hasunga.
Kikao hicho kilikuwa na lengo la kuanza kutekeleza agizo la Rais Magufuli la kuiuzia nchi ya Zimbabwe mahindi na mazao mengine kiasi cha Tani 800,000.
Huyu Mzee kijana anaongea swala la Korosho yeye kama nani?Pole pole leo kasema tutagawana korosho zetu endapo hazitauzika...... Naomba Zimbabwe washindwe heri tupewe kg mbili zetu kila mmoja
Itabidi ijengwe reli kwa ajili kusafirishia shehena ya hela toka zimbabwe..,kwa ZIM$ of course.
wakolomije kaazi kweli kweli!
Taarifa nyingine zinasema kuwa msafara wa raisi umegundua viwanda vya kubangua korosho huko Zimbabwe.Itabidi ijengwe reli kwa ajili kusafirishia shehena ya hela toka zimbabwe
...hahahaaaa watatuma bombadia kusomba izo pesa za mauzo...au tutatuma maroli ya wajeda yakasombe izo noti. Nimeamini msemo wa babu yangu chizi ata ukimvalisha suti atajinyea humo humo sijui babu alikua anamaanisha nini kuniambia hivyoItabidi ijengwe reli kwa ajili kusafirishia shehena ya hela toka zimbabwe
Huyu Mzee kijana anaongea swala la Korosho yeye kama nani?
ccm mnacheza na maisha ya watu mjue
Mzee kijana kaa lumumba usituvuruge
Umeshakuwa mchumi mara hahahh Hii nchi ujinga kama wote
View attachment 1114168
Baada ya Zimbabwe kuonyesha nia ya kununua mahindi na mazao mengine kiasi cha 800,000 kutoka Tanzania, taifa hilo la Kusini mwa Afrika linafikiria pia kuanza kununua mazao mengine kama korosho.
Ujumbe kutoka Serikali ya Zimbabwe utawasili nchini kuanzia siku ya Jumanne ya Tarehe 3 Juni na unatajiwa kuwa nchini mpaka tarehe 7 ya Mwezi Juni.
“Ujumbe huo unakuja kwa ajili ya kuangalia na kujiridhisha kuhusu mambo ya msingi kama ubora wa chakula na mambo mengine ya awali,” Waziri wa Kilimo Japhet Hasunga ameyasima hayo jana wakati wa kikao cha dharura na wakurugenzi wa taasisi na idara mbalimbali za Wizara ya Kilimo.
“Zimbabwe imefikiria pia kuanza kununua mazao mengine kama korosho kwa kuwa imeona fursa ya kupata mazao yenye ubora na kwa bei nzuri ipo Tanzania. Baadae mazao mengine ya mbegu za mafuta, jamii ya mikunde, mboga na matunda yataanza kununuliwa na taifa hilo,” aliongeza Waziri Hasunga.
Kikao hicho kilikuwa na lengo la kuanza kutekeleza agizo la Rais Magufuli la kuiuzia nchi ya Zimbabwe mahindi na mazao mengine kiasi cha Tani 800,000.
Zim hata wakinunua bado currency yao haina thamaniZimbabwe wanunue korosho wazipeleke wapi?kweli tunamawaziri wapuuzi kweli ambao hawajui hata wafanye nini.
Yaani muda wote wanakaa ofsini kujadili ZIM watanunua korosho kweli hii serikali iko mbioni kuanguka tena bila kusukumwa.
ni vyema kufanya biashara na nchi zenye rika letu, tunaweza kuwa na uhuru wa kuongea biashara na mazingira rafiki ya kibiashara, Zimbabwe tuwauzie Korosho Sembe mchele Ngano ya Bakhresa, mbaazi maharagwe Vitenge khanga samaki na bidhaa zozote rafiki. Tuangalie uwezekano wa CRDB EXIM bank kwenda kufungua matawi Zimbabwe na Namibia, ndege zetu ziweze kwenda Zimbabwe na Namibia, wanafunzi wa huko waje kusoma vyuo vikuu vyetu. Huu ni mwanzo mzuri wa kufungua fursa za kibiashara baina ya nchi za Africa.Zimbabwe wanunue korosho wazipeleke wapi?kweli tunamawaziri wapuuzi kweli ambao hawajui hata wafanye nini.
Yaani muda wote wanakaa ofsini kujadili ZIM watanunua korosho kweli hii serikali iko mbioni kuanguka tena bila kusukumwa.
Kwani wanaozinunua wao huzifanyia nini? tusiwe na mawazo mgando kudhani biashara ni lazima ufanye na china us uk india brazil, tunaweza fanya na congo Zimbabwe Uganda kenya angola. Hebu tu use Africa market to the maximum kabla ya kuwaza mambo mengine ya juu Zaidi.Seriously Zimbabwe wanunue Korosho ya Tz wafanye nayo nini?
Is this a joke or what?
Wanashindwa kula milo mitatu kwa siku ndio wawe na pesa ya kununua Korosho kweli?
Hii serikali ina utani na wakulima wa Tz
dah yan nimecheka kifalaMzigo wa korosho hautui begani hadi mwenye mali afike, pumbavu[emoji28]