Rod eli Shia
Member
- Aug 4, 2020
- 24
- 10
Hivi hamnaga second selection ya chuo kwa watu wa afya kwa Diploma?
Haipo. Ila huwa wanafungua dirisa dogo la udahili.Hivi hamnaga second selection ya chuo kwa watu wa afya kwa Diploma?
Dirisha dog la udahili sijaelewa nieleweshe kiupana zaidi.Haipo. Ila huwa wanafungua dirisa dogo la udahili.
Huwa kuna vyuo bado vina nafasi so nacte huwa wanatangaza wale waliokosa nafasi wafanye application tena but huwa wanatoa mda mfupi sana wiki moja.Dirisha dog la udahili sijaelewa nieleweshe kiupana zaidi
Lkn kaka angu mda umeisha imebaki siku kama mbili au moja😭nitafanyaje kuvijua hvyo vyuo kama angu nisaidie japo niapply nipate maana nime search website kama zote sijakuta nisaidie ndugu.Huwa kuna vyuo bado vina nafasi so nacte huwa wanatangaza wale waliokosa nafasi wafanye application tena but huwa wanatoa mda mfupi sana wiki moja.
Unataka vyuo vya private au government?Lkn kaka angu mda umeisha imebaki siku kama mbili au mojanitafanyaje kuvijua hvyo vyuo kama angu nisaidie japo niapply nipate maana nime search website kama zote sijakuta nisaidie ndugu
Pia bado sijakuelewa vizuri unahitaji kufanya application za vyuo au unataka selection?Lkn kaka angu mda umeisha imebaki siku kama mbili au mojanitafanyaje kuvijua hvyo vyuo kama angu nisaidie japo niapply nipate maana nime search website kama zote sijakuta nisaidie ndugu
DODOMAUpo mkoa gani
APPLICATION za vyuo nataka nijaribu kurudia kuombaPia bado sijakuelewa vizuri unahitaji kufanya application za vyuo au unataka selection?
Kama Ni application kwa vyuo vya government washafungua dirisha la kutuma maomba maybe usubirie wakifungua na piah kuna baadhi ya vyuo vya government ndo vimefungua dirisha la udahili tangu 31st September, kama vile Muhimbili (Muhas),UDOM na mwsho wa kufanya application Ni 25th Sept, piah kwa vyuo vya government deadline Ni 15th Sept so wahi mapema kabla tarehe hizo hazijafika.APPLICATION za vyuo nataka nijaribu kurudia kuomba
Nina 2:19 chemistry C Biology C na physics DVyuo vya serikal huangalia ufaulu wa juu kidogo mfano mdogo kuna vyuo MTU wa mwisho alichaguliwa akiwa na div2 ya 19 tena na masomo hitajka alipata BCC Yaan chem B phys C bios C
Je wewe unaufaulu wa ngapi? Tuanzie hapo ili tukupe ushauri
Kaka angu shida inakuwa deadline ilikuwa 15aug na kuna baadhi ya vyuo ndo vinaendelea na udahili shida ni kwamba hivyo vyuo ni vpi ambavyo vinaendelea na udahili kwa diplomaKama Ni application kwa vyuo vya government washafungua dirisha la kutuma maomba maybe usubirie wakifungua na piah kuna baadhi ya vyuo vya government ndo vimefungua dirisha la udahili tangu 31st September, kama vile Muhimbili (Muhas),Udom na mwsho wa kufanya application Ni 25th Sept, piah kwa vyuo vya government deadline Ni 15th Sept so wahi mapema kabla tarehe hizo hazijafika.
Muhimbili na UdomKaka angu shida inakuwa deadline ilikuwa 15aug na kuna baadhi ya vyuo ndo vinaendelea na udahili shida ni kwamba hivyo vyuo ni vpi ambavyo vinaendelea na udahili kwa diploma
Asante ngoja nijaribu bahati yanguMuhimbili na Udom
Nina 2:19 chemistry C Biology C na physics D
Asante ngoja nijaribu bahati yangu
ila kama unataka co hivyo vyuo havina course hiyo maybe nursing, pharmacy, medical laboratoryAsante ngoja nijaribu bahati yangu
Sawa,, naomba pia mnitajie vyuo vingine ambavyo bado vina endelea na usajiliUsijisumbue kama unagaka Muhimbili hutapata kwa hizi maksi jaribu Udom pharmacy