Recent content by kijana mpolez

  1. kijana mpolez

    Waziri Stephen Wassira :Ndani ya dakika 45 ITV sasa

    Sioni sababu ya kumtusi mzee wa watu maana hata ukisoma ulivoandika ts al about attackn his appearence which for my take its our main goal.for those who listened to him jana agree with me kua he answered the qnz vizuri sana and he is one of the cleaneast leaders we have in TanZania
  2. kijana mpolez

    Htc is needed urgently

    N2mie basi ya namb nkucheki kesho 2fanye biashara
  3. kijana mpolez

    Htc is needed urgently

    Vip?naweza iona maana naihitaji pia
  4. kijana mpolez

    Htc is needed urgently

    Thinkpad hio wild fire naweza iona??nataka sana
  5. kijana mpolez

    Htc is needed urgently

    Mwenye sensation jaman!! Nataka
  6. kijana mpolez

    Ooohh!! Kumbe dmx haji bongo

    Ngosha unajua hata Yesu au Mohamed S.A.W alivokuja n started preaching they dint wanna hear and nw thy cryng 4 salvation so VINEGA r making history leo.....U can kill tha revolutionary but U cnt kill the revolution.badae ustawi
  7. kijana mpolez

    Hii PIGA CHINI YA ZE COMEDY NI KAMPENI AU NINI?

    Yani ckutegemea hata humu kwenye great thhinkes we have pipo of da lowest IQ....Vinega aint compared to Commedy not in a million yearz!!twende ustawi leo uone hw real man do it!!
  8. kijana mpolez

    Je, wapinzani ni wakombozi?

    Mimi ni mtanzania ambae nimekua nikifatilia sana sias za hapa kwetu Tanzania.kutokana na hali legelege ya CCm,Chadema imekua ikijiongezea umaarufu kwenye jamii.ndio nikapata swali hiv Chadema ni Option au ndio solution??
  9. kijana mpolez

    Bungeni: Mwigulu full mipasho, Wassira na wengine waendeleza (Nov 16)

    Kwani Slaa kutoka ccm kwenda Nccr ni kuganga njaa?marando je?hata yule mzee wa Ukonga??hakuna logic behind your argument.he is a Tanzanian who has the ryt 2 shift from one party 2 anotha f he sees that numbers aren't adding up!!
  10. kijana mpolez

    Bungeni: Mwigulu full mipasho, Wassira na wengine waendeleza (Nov 16)

    Wasira ni kiongozi pekee aliebaki ndani ya CCm ambae he is still very clean.ni kiongozi ambaye amedumu ndani ya awamu zote nne za serikali ya tanzania na ameonyesha bado unyenyekevu,ustahimilizi na uwajibikaji ambao most of the Tanzanians leaders lack.sio kilakitu mnakua mnakosoa look at the...
  11. kijana mpolez

    Watanzania ni wakati wa kulilia system sio vyama vya siasa

    Tanzania ni wakati wa kulilia systeam sahiv wala sio mda wa kukaa na kuvishangilia,kuchukiana au kuuana kwa sababu ya vyama vya siasa.vyama vyetu vya siasa ni ballot-boxes-paries,yani vyote vinaongea kwa nguvu sana kukosoana na kuharibiana ilihali vishinde kura .leo hii hata ccm ikitoka...
Back
Top Bottom