Wasira ni kiongozi pekee aliebaki ndani ya CCm ambae he is still very clean.ni kiongozi ambaye amedumu ndani ya awamu zote nne za serikali ya tanzania na ameonyesha bado unyenyekevu,ustahimilizi na uwajibikaji ambao most of the Tanzanians leaders lack.sio kilakitu mnakua mnakosoa look at the bright side of it
Ni lini Dr Slaa alihamia NCCR? Wakuu hebu mpotezeeni mtu huyu, yuko darasani anajifunza, endeleeni na mjadala.Kwani Slaa kutoka ccm kwenda Nccr ni kuganga njaa?marando je?hata yule mzee wa Ukonga??hakuna logic behind your argument.he is a Tanzanian who has the ryt 2 shift from one party 2 anotha f he sees that numbers aren't adding up!!
fanya utafiti usikurupuke! utaabika.umenikumbusha matokeo ya mwaka jana alimhonga mgombea wa cdm akamwachia ulaji, hata dr. Slaa alivyoenda bunda kwenye mkutano wa hadhara baada ya uchaguzi watu wa bunda walimtaka ashuke jukwaani. Sasa sijui wasira anaweza kuongea nini wakati ameingia bungeni kwa kuhonga.
nahisi wanaojadili hapa hawamjui Wasira vizuri, he very vigilant politician hata slaa anajua ndo maana hawezi jenga hoja juu yake.ni mzalendo hata element zinaonyesha wazi.Ndugu sikupingi kwa itikadi yako ya siasa, nakupinga kwa vile unasema "kwanza asilimia kubwa ya hao kina wasira hawana mda mrefu" naogopa kwa wewe kujipa U -Mungu wa kuamua nani ana muda mrefu wa kuishi na nani anastahili kuondoka, hujashuhudia kuwa wenye umri mdogo wanawaacha watu wazima?? Ahaaa Bwana eehee acha kimya lakini toeni maoni yenu mkifikiria kuwa kuna Mungu.