Recent content by Kigonsela

  1. K

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    All the best kops
  2. K

    Hongera ITV super brand,Tuleteeni Mwamunyange naye afunguke

    samahani, kama kuna mtu anajua marudio ya kipindi cha dk 45 ni lini na muda gani atusaidie kujua, bahati mbaya wengine jana hatukupata fursa ya kukiona.
  3. K

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatatu, Tarehe 14 Aprili 2014 - Uwasilishaji wa Taarifa za Kamati

    miaka 50 baada ya muungano leo tunajadili uhalali wa muungano, je hiyo ndio ajenda ya kuwaletea maendeleo wananchi? tatizo kubwa la nchi yetu ni wanasiasa wetu, wanatutoa kwenye agenda za maendeleo wanatupeleka kwenye mapambano yao ya kugombea madaraka. muda na rasilimali fedha zinazotumika...
  4. K

    Kampuni mpya ya simu ofisi ziko wapi?

    ofisi zao nasikia zipo mikocheni
  5. K

    Tutafakari maneno haya ya Sitta baada ya kuchaguliwa

    maneno yake yanatupa matumaini
  6. K

    Kushabikia kura ya wazi ni wendawazimu

    fafanua kidogo ufafanuzi gani unaohitaji.
  7. K

    Mdau LiverpoolFC Apata Msiba

    apumzike kwa amani
  8. K

    Urais 2015: Bernard Membe ahojiwa na Kamati ya Maadili CCM

    mwaka huu tutasikia mengi,sisi yetu macho
  9. K

    CHADEMA kukutana na wanahabari leo mchana

    CHADEMA kufanya press conference leo saa 7 mchana. Wakati wa kipindi cha yasemavyo magazeti leo asubuhi, zimetoka habari kuwa uongozi wa CHADEMA leo mchana utakuwa na mkutano na wanahabari makao makuu ya chama. Kitakachozungumzwa tuvute subira!
  10. K

    Ninavyoona juu ya man utd, arsenal, liverpool, chelsea na man city

    sawa huo ni mtazamo wako ila kwenye ubingwa hata liverpool wanaweza kuchukua kama wataendelea na performance yao ya sasa.
  11. K

    Suarez v diego costa

    timu ndogo zinacheza premier league? kuweni wakweli suarez yupo vizuri sana msimu huu
  12. K

    Simba yaua

    mnyama kaua 2-0, wafungaji joseph owino na amri kiemba. kwa maelezo zaidi pitia bongostaz.blogspot.com utapata picha na maelezo ya mechi nzima.
  13. K

    Kesi ya Zitto vs CHADEMA:Kuna mazingira yanaandaliwa ku-influence uamuzi wa mahakama

    toa ufafanuzi zaidi kaka, tumekuelewa ila tushibishe zaidi mana inaelekea kuna mambo yamejificha umeyabaini
  14. K

    Mwenyekiti wa CHADEMA Temeke Joseph Yona, apigwa na kuumizwa vibaya!

    siasa za nchi hii, sasa tunakoelekea ni kubaya
Back
Top Bottom