samahani, kama kuna mtu anajua marudio ya kipindi cha dk 45 ni lini na muda gani atusaidie kujua, bahati mbaya wengine jana hatukupata fursa ya kukiona.
miaka 50 baada ya muungano leo tunajadili uhalali wa muungano, je hiyo ndio ajenda ya kuwaletea maendeleo wananchi? tatizo kubwa la nchi yetu ni wanasiasa wetu, wanatutoa kwenye agenda za maendeleo wanatupeleka kwenye mapambano yao ya kugombea madaraka. muda na rasilimali fedha zinazotumika...
CHADEMA kufanya press conference leo saa 7 mchana. Wakati wa kipindi cha yasemavyo magazeti leo asubuhi, zimetoka habari kuwa uongozi wa CHADEMA leo mchana utakuwa na mkutano na wanahabari makao makuu ya chama.
Kitakachozungumzwa tuvute subira!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.