Mkubwa,
KUMEKUCHA TENA.
NIPe ripoti mipango inaendaje...
Natambua kuwableo ndio siku maalum ya kumpumzisha baba yetu mahala pa salama, nazidi kumsihi Mungu alisimamie suala hili mkamalize salama.
Naamini utatujuza maendeleo.
Mods hawajautendea haki huu uzi kwa kuuleta jukwaa la sport! Hili ni jambo la mahusiano na msiba sio wa club bali ni member mwenye jina linalofanana na club!
mkuu pole sana kwako, shemeji , watoto na familia kwa ujumla. Mungu awape nguvu katika kipindi hiki kigumu. Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema. Amen
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.