Kesi ya Zitto vs CHADEMA:Kuna mazingira yanaandaliwa ku-influence uamuzi wa mahakama

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,014
144,372
Naomba niseme tu yaliyokuwa yanaendelea na yanayoendelea mpaka muda huu kuhusu kesi ya Zitto nje ya mahakama na hata kupitia baadhi ya vyombo vya habari, ni mkakati wa makusudi wa maadui wa CHADEMA wanaojifanya ni wapenzi na mashabiki wa Zitto wenye lengo la ku-influence mahakama itoe uamuzi unaolenga kumbeba Zitto.

Zitto kama Zitto hawezi kuwa na nguvu kiasi hiki na isitoshe jambo hili linahitaji matumuzi makubwa ya fedha na rasilimali watu.Huu bila shaka ni mkakati unaoungwa mkono na baadhi ya vyama vya siasa na matajiri "uchwara" kadhaa wa ndani ya nchi.

Haihitaji kuwa na degree kubaini ukweli huu bali ni swala la kusoma ushahidi wa kimazingira tu(circumstantial evidence)

CHADEMA,kwa sasa adui yenu si Zitto tu,bali adui yenu mkubwa ni mtandao ulio nyuma ya Zitto.
 
toa ufafanuzi zaidi kaka, tumekuelewa ila tushibishe zaidi mana inaelekea kuna mambo yamejificha umeyabaini
 
wanajilisha upepo na kufuata mkumbo kama mkumbo anayekana kwenye gazeti la mwananchi hakuwa mjumbe bali mshauri wakati anasahau serena alisema alichaguliwa na baraza cc haina nguvu.

Wabunge wa mahakama waunde umoja wao na mahakama litangazwe jimbo zk ndo akafanye huko si CHADEMA YATOSHA
Wakafie mbali kimkakati na kisiasa
 
Ndio maana tunataka kumng'oa Zitto iki huo mtandao nyuma yake ufukuzwe Lumumba kwakua bajeti waliyopewa ni kubwa lakini imeshinda kufanya kazi tarajiwa

ni kubwa kama milioni mbilimbili alizopewa kila mjumbe wa cc ya cdm ili wawafukuze kitila na mwigamba
 
Acha woga! ZITTo aliwaonya sana, mkajifanya vichwa maji! Muli-undersestimate nguvu ya ZITTO! Subiri matokeo tu!

Hana kitu anakula matapishi yake mwenyewe, msaliti mkubwa, atasimama wapi kuwahutubia watu, waliomtuma wanamkana, wa mwisho kumkana ni Mhe. Mkono.
 
Kamanda gani unakuwa mwoga kiasi hicho. Mnyika pia si aliwaambia mjitokeze kwa wingi kwenda mahakani.

Na nyie mlikuwa mnalenga kuinfluence maamuzi ya kahakama?
 
Zzk ndiyo kashashinda huyo,zzk ananguvu zaidi cdm mukitaka cdm iwe salama mumwangukie zzk
 
Bado nusu saa tu mahakama itupe majibu

Kama mahakama itakuwa strong na kuzingatia haki,yote haya yatakuwa ni bure tu.

Mahakama izingatie hoja zilizotolewa na mawakili wa pande zote na si yanayoendelea nje ya mahakama.
 
Jana CUF ililalamikiwa, leo linakuja hili.
Watashikwa uchawi wingi sana.
 
Maadui wa Chadema wanajulikana, Zitto ni wakala tu. Na Tutawashinda wote.
 
Back
Top Bottom