Nilikuwa nafuatilia kule Facebook kama ni kweli mtoto ni wa Gwajima, je kama mchungaji inakuwaje anazaa na mke wa mtu,je Gwajima ana mke au huu ndio utumishi.
Ninakitabu cha Gwajima kinaitwa Mega church amezungumzia kuhusu jinsi waumini wanavyopaswa kuwaheshimu wake za watumishi inakuwaje...
KWA WA ZALENDO WA NCHI YANGU TANZANIA.
Na hii ndio Zawadi kwa Taifa langu kadri ya uwezo wangu. Jiamini Wewe na Mimi tu Watanzania, tukijua hivyo tutailinda AMANI yetu na Upendo tuliyoachiwa na Wazee wetu.Pia tukio hili linapatikana Youtube "Mama yangu Tanzania". Ni maneno ya Kisandu...
Kama ni dharau basi ni hili sakata la ESCROW, ambapo watumishi wa Mungu wamezalilishwa sana eti leo haohao wanajitokeza tena kuwasafisha bada ya kuwa vua nguo hadharani. Huu uhuni wenu unabomoa nchi. Mmeona viongozi wadini wamekasirika mnaanza kuomba msamaha kwa kuwasafisha. mbona hamkusema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.