Recent content by kigoma mjini

  1. K

    Tamko la umoja wa waganga wa kienyeji Tanzania (UWAKITA) juu ya mwenendo wa siasa ya Tanzania

    hakika God is Great, mbinu zote zimefeli waganga wameamua kusujudu kwa Mungu.
  2. K

    Flora Mbasha ajifungua, nani baba wa mtoto?

    Nilikuwa nafuatilia kule Facebook kama ni kweli mtoto ni wa Gwajima, je kama mchungaji inakuwaje anazaa na mke wa mtu,je Gwajima ana mke au huu ndio utumishi. Ninakitabu cha Gwajima kinaitwa Mega church amezungumzia kuhusu jinsi waumini wanavyopaswa kuwaheshimu wake za watumishi inakuwaje...
  3. K

    Nitagombea Urais - Kisandu Deogratius

    Nani mnywa gongo?
  4. K

    Kwa wazalendo watanzania---watch this video

    KWA WA ZALENDO WA NCHI YANGU TANZANIA. Na hii ndio Zawadi kwa Taifa langu kadri ya uwezo wangu. Jiamini Wewe na Mimi tu Watanzania, tukijua hivyo tutailinda AMANI yetu na Upendo tuliyoachiwa na Wazee wetu.Pia tukio hili linapatikana Youtube "Mama yangu Tanzania". Ni maneno ya Kisandu...
  5. K

    Makanisa yanadharirishwa na vyama vya upinzani-nakuwasafisha tena.

    Kama ni dharau basi ni hili sakata la ESCROW, ambapo watumishi wa Mungu wamezalilishwa sana eti leo haohao wanajitokeza tena kuwasafisha bada ya kuwa vua nguo hadharani. Huu uhuni wenu unabomoa nchi. Mmeona viongozi wadini wamekasirika mnaanza kuomba msamaha kwa kuwasafisha. mbona hamkusema...
  6. K

    Mkuu wa shule Igoma sekondari ya Mwanza anaongoza shule kwa makundi

    poleni sana hata mkolani sekondari ni hivyohivyo
  7. K

    Nassari kufunga Ndoa Jumamosi

    mkewe ni Halima Mdee, mmesahau kampeni za arumeru
  8. K

    Kambi Rasmi ya Upinzani wasusia Bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini na kutoka nje ya Bunge

    mwenyekiti wetu ni jembe anajua kusoma alama za nyakati akajiwahi kutoka bungeni. hapa ndipo umhimu wa mbowe unapoonekana.
  9. K

    Mbowe asinzia bungeni asubuhi hii

    dogo karibu UD uje tukufundishe siasa, tatizo lako unayemfikiria siyeyeye.
  10. K

    Mbowe asinzia bungeni asubuhi hii

    jirani na kwenu bro
  11. K

    Mbowe asinzia bungeni asubuhi hii

    kazi yangu hapa UDSM si ya kuchumia tumbo broo labda wewe na Ben wako asiyejitambua
  12. K

    Mbowe asinzia bungeni asubuhi hii

    ukweli unauma sana.
  13. K

    Mbowe asinzia bungeni asubuhi hii

    na hiyo ndio shida ya Ukawa na ndio maana wameogopa kwenda kigoma wakamtuma katibu wa nccr
Back
Top Bottom