Comrade, kwa hizi picha unatuonyesha
[emoji830]nywele nachurali au
[emoji830]maumbile (curvatures) nachurali? [emoji23][emoji23]
In any case, asante. Najua ujumbe umewafikia wahusika.
Mimi nilianza kwa kutoipa uzito mkubwa siku nilipoandika haya maoni yangu.
Lakini kila siku zinavyoendelea ndivyo ninavyoona kuwa dhana namba 5 ni logical sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maswali mazuri sana. Nitajaribu kuyajibu.
Majibu yangu ni DHANA (theories) tu kutokana na hisia zangu.
Sio majibu ya Serikali, Polisi au vyombo vingine vya dola.
Mimi sie msemaji wao.
Samahani majibu yangu yatakuwa marefu kidogo.
Hili swali ni zuri sana.
Simjui aliewaondoa walinzi. Kama...
What was your point telling me about BRN in the first place?
I am not a mind reader.
Maybe your friends my understand your cryptic messages. Not me.
So, let's try this again.
Why did you bring BRN in the first place?
Simple question.
Wewe unataka ideas au jina.
Tunabadilishana mawazo hapa sio kutafuta mchumba.
Picha hupati
Jina ndio hilo.
Ukilitaka kwa urefu naitwa
YAHYA KIFYATU
Napatikana pia twita kwa jina hilo.
Upinzani hauna sera mbadala kwa sasa.
Kila kukicha wanarukia matukio ya serikali.
Kwenye uchaguzi kwa nini wachaguliwe?
Ili walete nini?
Huu upinzani wa sasa unafaa kufa kabisa ili upinzani madhubuti uibuke.
Tunahitaji upinzani mzuri. Hawa wa sasa malengo yao ni
[emoji830]Kuingia ikulu...
Mbio za sakafuni huishia kizingitini.
Ifikapo 2020 ndio tutaona kama majority ya watu wanaichukia hii serikali.
Mkuu tuombe uzima tu.
Upinzani utaumbuka vibaya sana safari hii.
Kuna vyama vitafunga ofisi.
Mkuu sijui kwa nini unashangaa yanayosemwa huku mitandaoni.
Sote tunajua wanaopiga kelele kwa sauti kubwa ni wale waliokuwa wanapata hela za serikali kiulaini. Hawa ni kama:
[emoji830]TRA officers
[emoji830]TPA officers
[emoji830]Wapokea mishahara ya watumishi hewa
[emoji830]Wauza ngada...
Nitarudi ili nitoe somo kamili.
Lakini jua hili kwanza.
Hamu ya chakula inaanza na
[emoji830]Macho, yaani mvuto (rangi) wa chakula
[emoji830]Pua, yaani harufu nzuri ya chakula
[emoji830]Ulimi, yaani ladha ya chakula
Vivyo hivyo kuhusu mapenzi, ashki na ngono.
Kama hujanielewa, subiri.
Ukikua...
Vyama vya kisiasa vinakuwa na ITIKADI zao na SERA zao. Kwa hiyo ni sahihi kujua ni chama gani kinachoiendesha nchi.
Ni sahihi kabisa kusema hii ya sasa ni SERIKALI YA CCM.
MFANO MDOGO
Angalia Marekani.
[emoji830]Ilipoendeshwa na Obama (Democratic Administration) dunia nzima (well, the P5+1)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.