Kama wapo wa aina hiyo ni wachache sana, jinsi tunavyofanya mambo yetu ni hovyo hovyo tu. Nyumba zinajengwa kama uyoga na ukifuatilia kwa undani hakuna hata mwenye kibali cha ujenzi. Ukiuziwa eneo, kesho unaanza msingi hata kujisumbua kidogo kuona mamlaka za eneo husika hatufanyi!! Tuna tatizo...
Barua imeeleza wazi mkuu, kinachopelekwa mkoani ni softcopy ya majina ya watumishi wa eneo husika, pamoja na nakala za vyeti. Kwa hiyo mtumishi haitajiki kwenda. Hapo kama una cheti feki unapigwa juu kwa juu tu.
Kwa hiyo we unaifananisha Tanzania na China au Urusi? Wale walishajitambua siku nyingi wewe, wako dunia nyingine kabisa, nyie hamuendi hadi kwa viboko tu. Tena mlitakiwa mtandikwe mboko hapo hapo bustanini, hakuna mambo ya kupelekana mahabusu.
Kutoka nyumbani na kwenda kukaa na kushinda vijiweni/bustani huku ukitegemea kuishi kiujanja ujanja ndio umaskini wa fikra huo mkuu!! Hilo halikubaliki. Acha kutetea waovu! Hivyo ndio vijiwe vya matapeli Mwanza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.