Mimi nimefikiria pafupi, nashukuru we we umefikiria parefu, je, name wanao save majina ya watu wao kwenye simu je? Alafu thread yangu haina hoja saws nakubali, lakini nashukuru umechangia.
Habari wanajamvi, Leo nimekaa nikawa natafakari kwa watu wanaopenda kuweka password katika simu zao, Je! Faida yake ni nini na hasara yake nini, Je! Kuna ulazima wa kufanya hivyo?...mimi naanza na hasara, kwa mfano: umedondoka ghafla au umepata ajali hujitambui, wasamaria wanajitolea kukusaidia...
Kwa jinsi nilivyomuelewa mimi ni kuwa baba mlezi wa Neema ambaye ameshtakiwa kwa kosa la kumbaka Neema hajatendewa haki, kwanza ameeleza kuwa Neema alikuwa hatulia(mapepe) kumbuka amesema kuwa alishawahi kubakwa na baba yake mzazi hapo awali, kisha hakuna hatua zozote zilizochukuliwa huku...
Pumzika kwa amani mama yangu kipenzi, uliniacha nikiwa nina miaka mitatu 1986 baada ya kutengana na baba hatukuweza kuonana tena mpaka nilipofika miaka kumi na tatu ndipo niliposikia umefariki 1996 najisikia uchungu kwani sikuonja mapenzi yako...pamoja na hayo nimetambua thamani yako kwani...
Kuna siku nipo jikoni napika choroko, nimekamua tui langu la kwanza na la pili nikaweka kwenye bakuli juu ya meza fupifupi hivi...wakati naendelea kupika mtoto wangu wa miaka miwili akaja kumbe kamebeba mchanga mkononi huku kanaita mama,mama mimi niko busy nakaangiza sasa ile nigeuke sasa ili...
Mama yangu mzazi alishafariki miaka 18 iliyopita lakini kuna watu wanamzungumzia vibaya mpaka leo,watoto wake tunavyoyasikia tunajisikia uchungu sana, kuna dadaangu siku moja alipika chakula kibichi chaajabu aliambiwa hicho ni kilema kutoka kwa mamaako dadaangu alilia sana, siku nyingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.