Habari wanajamvi, Leo nimekaa nikawa natafakari kwa watu wanaopenda kuweka password katika simu zao, Je! Faida yake ni nini na hasara yake nini, Je! Kuna ulazima wa kufanya hivyo?...mimi naanza na hasara, kwa mfano: umedondoka ghafla au umepata ajali hujitambui, wasamaria wanajitolea kukusaidia lkn katika harakati za kukusaidia wanachukua simu yako ili kujulisha ndugu na jamaa kwa yalio kukuta wanakuta simu imepigwa lock na wewe ndio hujitambui, karibuni tujadili.