Recent content by Kidogo chetu

  1. K

    TANZIA Mwanahabari, Prudence Karugendo afariki Dunia

    the deceased one was a journalist the padre is his brother PRIVATUS KARUGENDO
  2. K

    Mafanikio ya Utawala wa Jakaya Kikwete ndani ya Miaka 10

    RICHMOND PROJECT ESCROW PROJECT
  3. K

    Brigadier Ahmed Takadiri Kitete: Shujaa aliyepiganisha vita toka Kagera mpaka Koboko alikozaliwa Idi Amin

    Supersonic Kitete ni moja wa makamanda walioandaa mpango madhubuti wa kivita wa kumuondoa kwanza Nduli na majeshi yake nje ya mipaka ya nchi yetu , na kazi hii iliwachukua masaa 24 tu . nilipata kumuuliza juu ya hili na alinijibu kwamba ilikuwa lazima adui atolewe kwanza nje ya mipaka yetu ndo...
  4. K

    Je, ni kwanini Waafrika hatukemei uvunjifu wa amani na fujo za Kidemokrasia zinazoendelea sasa Marekani?

    Rais Emerson Mnangagwa wa Zimbabwe amekemea vikali tishio hilo la TRUMP
  5. K

    Kwanini Zitto alitumia nembo ya Bunge kuandika barua binafsi kwa Benki ya Dunia? Kwangu mimi huko ni kuhalalisha 'kushughulikiwa' na Bunge

    zitto ni mbunge anao uhalali huo mbona hukwenda kumhoji Frederick Sumaye aliyetumia nembo ya bibi na bwana ( serikali) alipowaitisha kikao waandishi wa habari wakati akijiondoa CHADEMA?
  6. K

    Nafanyiwa sexual harassment na msichana wangu wa kazi

    kuna mtu anatumia akaunti ya bujibuji nadhani ! maana Bujibuji nimujuaye kwa matukio huyo binti keshaliwa kitambooooo
  7. K

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    mie nimebhatika jana tu kabinti kako CBE Diploma 2 kameshoboka kanataka soda , nikakaeleza za dukani sio nzuri nifuate kakatii nikaingia bar nikaenda kukaa nyuma sehemu ya vyumba nako kakaja. kufika kanasema kanaogopa macho ya watu sikuwa na namna nikalipia chumba kakapata haki yake na soda...
  8. K

    Nimekuta huyu mdada anatafuta mume

    kurupuka uone moto
  9. K

    TAKUKURU yamtafuta aliyekuwa Mkurugenzi wa Pride-Tanzania na Mtumishi wa DUCE aliyeondoka na fedha za ada

    KAKA WEWE unaweza thubutu kumsogelea nyoka mwenye makengeza
  10. K

    Kutoka NEC ya CCM: Mrithi wa Kinana ni Dr. Bashiru Ally. Apitishwa kuwa Katibu Mkuu mpya wa CCM

    Huku kikao cha NEC kikiendelea tayari Dr Bashiru Ally amependekezwa na kupitishwa kuwa mrithi wa Komredi KINANA kuanzia leo. Dr Bashiru ni mhadhiri mwandamizi kutoka UDSM. Pia ndiye alieongoza kamati maalumu iliyochunguza mali za CCM Wakati anapendekezwa ametajwa kama Mzalendo,mjamaa na...
  11. K

    Humphrey Polepole popote pale ulipo naomba ukidhi ipasavyo hii Kiu yangu tafadhali

    labda arudi kule alikokuwa akitetea mashoga
  12. K

    Meneja wa Diamond, Babu Tale mbaroni

    acheni uongo BABU TALE ARUDISHWA MAHABUSU KISA MIL 250 May 23, 2018 by Global Publishers Mkurugenzi wa Kampuni ya Tip Top Connection ya jijini Dar es Salaam, Hamis Taletale. Mkurugenzi wa Kampuni ya Tip Top Connection ya jijini Dar es Salaam na Meneja wa mwanamuziki Naseeb Abadul ‘Diamond’...
  13. K

    Uliwahi kumuona mtu wa TISS ambaye ni kama kichaa? Huyu jamaa hapa Jijini Dodoma huwa hasomeki kabisa

    wewe unamsema Shayo huyo alishindwa PhD huko ujerumani kwa kupenda starehe miak ya mwishoniya 80 na mwanzoni mwa 90 alikuwa idara ya Extension and Agribusiness kabla hazitenganishwa. Nilikwa SUA 1996-2000
  14. K

    Sakata mafuta ya kula: Rais Magufuli afanya ziara ya kushtukiza bandarini na kukagua matanki ya mafuta

    Nampongeza kaimu Kamishina wa TRA aliyesimama kidete , maana imegundulika haya mafuta siyo CRUDE bali ni mchanganyiko yako Crude yanayotozwa 10% tax , Semi refined 10% na double refined yako Matanki 7 yaliyopaswa kulipiwa 25%. Hongereni TRA kusimamia ukweli huu
Back
Top Bottom