LOVE U JF
JF-Expert Member
- Dec 9, 2015
- 2,136
- 1,630
Roho mbaya unashindwa kusamehe sasa hadi damu yake umeuza jamani wanawake ni wa zamani
Uliyosema ni kweli nakuunga mkono. Kuna watu wanafikiria kufanya ngono ni raha lakini wanasahau kuwa baada ya hiyo ni regret na kujiona umechafuka na utachafua mwenzio. Mimi Buji ni Ke na nipo kwenye ndoa yangu miaka 27 ila nilikaa miaka 10 baada ya kumwacha mme wa kwanza nilipomfumania na mwanafunzi wangu live. Nilikuwa mja mzito ila nilitunza mimba yangu mwenyewe na mtoto akapata baba aliyemjali na kumlea kama mwanae. Sasa nina wajukuu.