Kwema ndugu zangu.
Naomba kupata update za wapi nitapata muuzaji wa jumla.wa mayai ya kisasa.
Nahitaji kuingia kwenye hiyo biashara.
Napatikana tabata.
Thank u
Wana jamvi kwema?? Ni hivi jamanii mgeni firm dar...nipo Arusha.... Maeneo ya Moshono so naomba wadau mnipe tips chache kuhusu arusha haswa sehemu za masoko kama k/koo, manzese ndo muhimu hayo.
Tchao
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hahahhahahhahahhahahahahhahahahah uwiiii nimekabwa huku
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.