Kikwete alipatana na Uhuru,ndege wafananao huruka pamoja!

Waziri kivuli

JF-Expert Member
Nov 30, 2016
2,987
3,450
Nadhani uhusiani wa Kenya na Tanzania umeyumba,hili linapata back up ya maneno aliyotoa Raila Odinga wakati wa kampeni,aliwaahidi wakenya kurudisha uhusiano mwema uliokuwepo baina ya Tanzania na Kenya na hasa suala la trade kati nchi hizi mbili!

Kwasasa uhusiano wa Tanzania umeimarika na nchi kama Rwanda,Uganda na Burundi!Kwanini nchi hizo na si Kenya?

Ni wazi kuwa marais kwa 100% huchangia uhusiano kuimarika au kuporomoka!Wakati wa JK,tulikuwa vizuri na kenya ila tukawa tofauti na Rwanda?

Nini chanzo?

Museven,Kagame,Nkurunzinza na JPM wana nini in common mpaka kuwe na uhusiano mzuri?

JK na Uhuru wana nini in common mpaka wakawa na maelewano mazuri?

Maana ndege wafananao huruka pamoja!!!!
 
Marais wote wa East Africa ni ndugu moja wala hakuna shida katika mahusiano ila kila wanainchi anaweza kuwa na nadhana yake tu kuwa huyu ana mahusiano na yule na yule ana mahusiano na mazuri na huyu hizo zote bado zinabaki kuwa dhana tu.

Lakini katika nchi zote za Africa ya Mashariki Marais wana mahusiano ya karibu sana kwa kila mmoja kwa mwenzake na hata uongozi wao wengi wamekuwa wakitegemeana kiushauri toka kwa nchi mmoja na nyingine.

Haya ambayo yanaongelea katika mitandao ni ya wanainchi tu lakini kila mmoja anajua kwani anamtegemea mwenzake.
 
Nadhani uhusiani wa Kenya na Tanzania umeyumba,hili linapata back up ya maneno aliyotoa Raila Odinga wakati wa kampeni,aliwaahidi wakenya kurudisha uhusiano mwema uliokuwepo baina ya Tanzania na Kenya na hasa suala la trade kati nchi hizi mbili!

Kwasasa uhusiano wa Tanzania umeimarika na nchi kama Rwanda,Uganda na Burundi!Kwanini nchi hizo na si Kenya?

Ni wazi kuwa marais kwa 100% huchangia uhusiano kuimarika au kuporomoka!Wakati wa JK,tulikuwa vizuri na kenya ila tukawa tofauti na Rwanda?

Nini chanzo?

Museven,Kagame,Nkurunzinza na JPM wana nini in common mpaka kuwe na uhusiano mzuri?

JK na Uhuru wana nini in common mpaka wakawa na maelewano mazuri?

Maana ndege wafananao huruka pamoja!!!!
pumba nani kakwambia Tanzania haina uhusiano na kenya kwani fly over ya kenya alikwenda kuzindua nani
 
Marais wote wa East Africa ni ndugu moja wala hakuna shida katika mahusiano ila kila wanainchi anaweza kuwa na nadhana yake tu kuwa huyu ana mahusiano na yule na yule ana mahusiano na mazuri na huyu hizo zote bado zinabaki kuwa dhana tu.

Lakini katika nchi zote za Africa ya Mashariki Marais wana mahusiano ya karibu sana kwa kila mmoja kwa mwenzake na hata uongozi wao wengi wamekuwa wakitegemeana kiushauri toka kwa nchi mmoja na nyingine.

Haya ambayo yanaongelea katika mitandao ni ya wanainchi tu lakini kila mmoja anajua kwani anamtegemea mwenzake.
Umevaa miwani ya mbao ndio maana huwezi kuona
 
pumba nani kakwambia Tanzania haina uhusiano na kenya kwani fly over ya kenya alikwenda kuzindua nani
Povu la nini?Umevaa miwani ya mbao ndio maana hujui hilo!Kwanini Odinga alitoa ahadi wakati wa kampeni kuwa atarejesha uhusiano mzuri baina ya kenya na Tanzania hasa upande wa biashara akishika nchi??????Hujui mambo we kilaza wa lumumba!!!!!!
 
Uhuru anamkubali sana JK, na huwa anajifunza baadhi ya vitu kutoka kwake. Ni watu wa Karibu. Uhuru alimpa nafasi ya kuhutubia Bunge la Kenya kipindi anamalizia mda wake. Hata siasa za Uhuru zinataka kufanana kiasi na JK. Anaweza kucheka lakini akakufanyia kitu mbaya sana. Pia naye ni mtoto mjini na anapiga sana kilaji.
 
Hii ni karne ya !!makavu live!! wewe uzuie biashara zetu kuuzwa kwako, uzuie magari yetu kwenda kufuata watalii, halafu unatuchekea kino pembe? wapi bwana hiyo tunataka ukweli na uwazi mambo ya kichini chini karne ya leo unamfanyia nani ? ukimwaga ugali wenzio wanamwaga mboga
 
Mkwere sio dikteta

Sent using Jamii Forums mobile app
sio dikteta lakini mzururaji kama Uhuru kutwa wapo ulaya na kutumbua fedha za walalahoi. wote ni laissez- faire type leaders upande mwingine ni marais Autocratic wo ni kazi tu upumbavu haupo sio wabadhilifu wa mali za uma na hawajilimbikizii mali mfano wa ndugu yetu mmoja kila shamba na hili langu kila mkoa ana mashamba kama si yeye basi mkewe au mwanae tutasikia mpaka mashamba ya wajukuu. yote haya ni bure maisha tetu duniani ni kumi mara saba
 
Uhuru anamkubali sana JK, na huwa anajifunza baadhi ya vitu kutoka kwake. Ni watu wa Karibu. Uhuru alimpa nafasi ya kuhutubia Bunge la Kenya kipindi anamalizia mda wake. Hata siasa za Uhuru zinataka kufanana kiasi na JK. Anaweza kucheka lakini akakufanyia kitu mbaya sana. Pia naye ni mtoto mjini na anapiga sana kilaji.
Hahahahaaaa,sawa mkuu!
 
Usmart wake ndio ulifikia mkamwita dhaifu saiv mnakuja kulia mitandaoni
Kila mtu ana upungufu wake,JK alikuwa na mapungufu yake lakini kwa demokrasia atakumbukwa!Katika hilo wamefanana sana na Uhuru!
 
Hii ni karne ya !!makavu live!! wewe uzuie biashara zetu kuuzwa kwako, uzuie magari yetu kwenda kufuata watalii, halafu unatuchekea kino pembe? wapi bwana hiyo tunataka ukweli na uwazi mambo ya kichini chini karne ya leo unamfanyia nani ? ukimwaga ugali wenzio wanamwaga mboga
Mkuu watu wanaleta siasa kwenye mambo ya msingi,ni vigumu sana kuajiriwa kazi yoyote nchini Kenya,ila huku wamejaa kibao,ni vigumu kuuza kitu chochote kilichokuwa processed kama vyakula,juisi,.. Wao wanaleta watalii huku,ila sisi kwao hatuwezi kwenda.. mambo kibao,Sasa JK alikuwa anawachekea chekea tu,ila JPM halembi,kinachonisikitisha wa Tz kila kitu wanaingia siasa tu za sijui Odinga rafiki yake JPM,mara Uhuru msela wa JK,hawaangalii upande wa maslahi ya nchi.Hizi ishu wanazifanya kama Simba na Yanga.
 
Back
Top Bottom