Hao wote wametoa ufafanuzi mzuri,nawengine ni JUMA DUNI,,,MTIKILA kwa dakika mbili tu,amejibu vema swali alilotupiwa Tundu.Kiukweli serikali mbili hazina mashiko,ila tutaenda nazo kwa ubabe tu,,,ukombozi hautapatikana sasa,mpaka maccm yaache mabavu inchi siyo yao pekee