Recent content by Kideme

  1. Kideme

    JamiiForums Tanzania Huwa mnadili vipi na ndugu wa aina hii?

    Msaidie kiasi unavyomudu, sahau aliyokufanyia utaishi kwa amani na ndio ubinadamu uliotimia.
  2. Kideme

    JamiiForums Tanzania Kashaenda Sober house Mara 2 lakini akirudi anaanza upya kutumia madawa, tunamsaidiaje

    Sober ili ufanikiwe ni lazima muhusika aridhie mwenyewe au aamue kuacha, huyo bado hajakubali kuacha, sober haiwezi kumsaidia kwani ni ninyi munamlazimisha kitu ambacho hajafanya maamuzi.
  3. Kideme

    JamiiForums Tanzania Prof. Mohamed Janabi achaguliwa kuongoza WHO AFRO

    Hee! Wewe mama kwani una umri gani hasa au ni mdada upo under 20?
  4. Kideme

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wangu aliniacha na kwenda kuishi X wake, sasa anataka turudiane

    Hata nikisema wewe ni mwanaume mjinga bado nitakuwa sijapata jina sahihi linalokutosha! Natafuta jina linalokufaa, nikilipata nitarudi.
  5. Kideme

    JamiiForums Tanzania Niulize chochote juu ya tiba za Mitishamba

    Nilidhani umekuja kusaidia jamii kumbe kufanya biashara!
  6. Kideme

    JamiiForums Tanzania Wadau mnaishije na ndugu?

    Ushauri wako ni nzuri lkn kama umemsoma wazazi wake walitangulia mapema, huyo kaka yake ndie alibeba nafasi ya baba yake, mwache amsaidie kiasi anavyoweza.
  7. Kideme

    JamiiForums Tanzania Inachukua muda gani kubadilisha jina kwenye passport?

    Mkuu, Vp unamsokota kijana! Kama wazazi wake walimpa jina la Mkojo na jina la babake anaitwa Siwangu, (anajuilikana kama Mkojo Siwangu) avumilie tu eti kwa sababu majina amepewa na wazazi wake? Amesema anataka kubadili majina na miongoni mwa sababu zake ni majina ya utani au ambayo si rasmi ya...
  8. Kideme

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Rais Samia akiitumia Busara na Hekima ya Kimbingu akaachana na ubinadamu, atakubaliana na mimi kuwa "Umakamu/Urais wake ulichaguliwa kwa mpito tu!

    Hata Umakamo ni kudra ya Mungu, hakuna kinachokuwa bila utashi Wa Mungu! Na huo utais aliupata kwa utashi Mungu na hiyo awamu ijayo kama tutafika ataupata kwa utashi wa Mungu wala sio kwa utashi wako wa kumkataa.
  9. Kideme

    JamiiForums Tanzania GOMA: Did the real war just begun?

    Vit! Taarifa zinatatanisha
  10. Kideme

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Uhamiaji Tanzania Bado Lina Hoja ya Kujibu Kuhusu Suala la Kuwapa Uraia Hao Wachezaji wa Kigeni

    Mimi nadhani baadhi watendaji wakuu huko uhamiji ni miongoni mwa hao waliopata URAIA kwa mtindo huo!
  11. Kideme

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimekata tamaa ya maisha

    Mumeo ni cha pombe? Jipiganie utavuka tu dunia ndivyo ilivyo. Pole sana.
  12. Kideme

    JamiiForums Tanzania Kuna muda itakubidi upitie shortcut ili mambo yako yaende

    Rushwa ni dhambi iliyowazi!
  13. Kideme

    JamiiForums Tanzania Nimetapeliwa kwenye biashara yangu ya huduma za kifedha (Uwakala)

    Hapa kwa kweli sijaelewa!
Back
Top Bottom