Masagala
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 3,502
- 6,546
Hapo unaitumiaje sasa.
Hapo unaitumiaje sasa.
Pole sana Kuna majani jina lake limenitoka ila unga wake ninao ofisini huu ugonjwa unasababisha baadae mguu wa kutoa harufu kama ya kitu kilicho ozaNini nitumie kutibu hiiView attachment 2385203
Mimi sijui ya asili ila najua ya hospital ya Bei rahis buku tuDawa ya mba wa ngozi tafadhali
Nilidhani umekuja kusaidia jamii kumbe kufanya biashara!UTI sugu(maambukizi sugu kwenye njia ya mkojo) wakati mwingine huweza kiathiri kibofu na hata mpaka kwenye figo,na inapofikia hatua hiyo inakuwa hatari zaidi na uponaji wake unakuwa mgumu sana unaweza kumeza Antibiotic za kila namna bila mafanikio.Kuna Mitishamba ambayo kama imevunwa na kuandaliwa kwa weledi huweza kufuta kabisa bakteria wote kwenye njia za mkojo na kuweka kinga imara ndani ya wiki mbili mpaka mwezi.
UNilidhani umekuja kusaidia jamii kumbe kufanya biashara!
Kama una Jambo unahitaji kusaidiwa tafadhali andika hapa nikupe msaada🙏Nilidhani umekuja kusaidia jamii kumbe kufanya biashara!
Nielekeze tafadhaliMimi sijui ya asili ila najua ya hospital ya Bei rahis buku tu
Kuna dawa ya vidonge inaitwa septrin inauzwa elf 1 had mia tano nunua hata ya buku isage iwe unga kabisa lain Kisha chukua mafuta ya mgando ya Miatano ya kawaida kabisa changanya huonunga na hayo mafuta uwe unapaka mwilini au maeneo yalioathirikana MBANielekeze tafadhali
Ahsante Sana kwa swali zuri.Dawa ya mba wa ngozi tafadhali
Mgonjwa wa siko seli anatibiwaje na miti shamba?U
Kama una Jambo unahitaji kusaidiwa tafadhali andika hapa nikupe msaada🙏
Nina uvimbe kwenye kifua na kwenye mbavu , nimekwenda hospital nimeishia kufanya x-ray baadae baada ya majibu ya x-ray hakujafanyika tiba isipokuwa nikatakiwa nifanye CT scan ya kifuaU
Kama una Jambo unahitaji kusaidiwa tafadhali andika hapa nikupe msaada🙏
Ahsante sana ndugu tena sana. Kuna jamaa aliniuzia 8000 kikopo cha tulip cha 500Kuna dawa ya vidonge inaitwa septrin inauzwa elf 1 had mia tano nunua hata ya buku isage iwe unga kabisa lain Kisha chukua mafuta ya mgando ya Miatano ya kawaida kabisa changanya huonunga na hayo mafuta uwe unapaka mwilini au maeneo yalioathirikana MBA
Nina uvimbe kwenye kifua na kwenye mbavu , nimekwenda hospital nimeishia kufanya x-ray baadae baada ya majibu ya x-ray hakujafanyika tiba isipokuwa nikatakiwa nifanye CT scan ya kifua
baada ya CT scan majibu yalivyotoka nikaambiwa nifanye Biospy yaani Kwa kifupi Toka nianze kuhudhuria hospital sijapata hata robo ya solution na nakuwa napata maumivu makali ya mgongo hvyo nalazimika kunywa diclopa kila siku
Ili nipate usingizi , je kunatiba mbadala ya kupoteza huo uvimbe maana upo tu na wenyewe hauumi Hadi uubonyeze ila mwili kama mwili upande wa mgongo Kuna maumivu Sana
Pole mkuu kwa changamoto unayopitia.Nina uvimbe kwenye kifua na kwenye mbavu , nimekwenda hospital nimeishia kufanya x-ray baadae baada ya majibu ya x-ray hakujafanyika tiba isipokuwa nikatakiwa nifanye CT scan ya kifua
baada ya CT scan majibu yalivyotoka nikaambiwa nifanye Biospy yaani Kwa kifupi Toka nianze kuhudhuria hospital sijapata hata robo ya solution na nakuwa napata maumivu makali ya mgongo hvyo nalazimika kunywa diclopa kila siku
Ili nipate usingizi , je kunatiba mbadala ya kupoteza huo uvimbe maana upo tu na wenyewe hauumi Hadi uubonyeze ila mwili kama mwili upande wa mgongo Kuna maumivu Sana.
Pole Sana! Umeshapata suluhisho? Kama bado nijulishe hapa tafdhaliNina uvimbe kwenye kifua na kwenye mbavu , nimekwenda hospital nimeishia kufanya x-ray baadae baada ya majibu ya x-ray hakujafanyika tiba isipokuwa nikatakiwa nifanye CT scan ya kifua
baada ya CT scan majibu yalivyotoka nikaambiwa nifanye Biospy yaani Kwa kifupi Toka nianze kuhudhuria hospital sijapata hata robo ya solution na nakuwa napata maumivu makali ya mgongo hvyo nalazimika kunywa diclopa kila siku
Ili nipate usingizi , je kunatiba mbadala ya kupoteza huo uvimbe maana upo tu na wenyewe hauumi Hadi uubonyeze ila mwili kama mwili upande wa mgongo Kuna maumivu Sana.