Pamoja nakutokujua siasa za bunda,ila wasira amekuwa kimya jimboni kwake tofauti na wabunge wengine.inaonyesha mzee anaona akitoka jimboni tu!atampa nafasi bulaya.
Wakuu ishu iko hivi lema alikwenda kwenye kituo cha uandikishwaji kura,baada yakuambiwa na baadhi ya Waandikishwaji kwamba tumezuiwa kujiandikisha mpaka waliotangulia waishe.lema baada yakupata habari hizo alikwenda nakuuliza vp?akajibiwa,kunawalioandika majina yao jana jioni baada ya muda...
Nipo njiani ila nimekutana na makundi ya Magari tofauti zikiwemo costa na mabango team lowasa 2015-2020,naona wameandika na maeneo wanayotoka ili wajulikane pesa walizopewa kwasafari zimefanya kazi.
Watu wakaribu na viongozi wa mjengoni inasemekana kuna kipindi ilifikia bi kiroboto alitoa angalizo "huyu kijana yaani lema anaweza akakunyemelea hata kwenye korido akakupiga kwy kuweni makini"
Kamanda naomba unijuze nimepima nikaambiwa damu iko nyingi na ni nzito kwy haiendi kwa kasi itakiwayo.nikaambiwa dawa ni maji au asprin.je kuna tiba lishe?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.