Mim nashangaa sana watu wanakoments wakiwa kwenye keyboard,hata bunda yenyewe hawaifaham ,wana koments tu kwa ushabiki kwa kuwa tu yuko chadema, hatakama wasira amechoka ,huyo dada hawezi pata ubunge hapa bunda ,bulaya ana kikundi chake cha vijana wanaompa joto hapo nyasura ,hawazid hata 50 ,na hapa miini ,kutoshinda kwa bulaya kunatokana na aina ya jamii iliyopo hapa bunda na mzee ameshaaotesha miziz ,mapaka huko kijijini ,ambapo mzee akiwapelekea kilo tatu ya skuri basi kura anayo ,ester ,huko kijijin amna anayemfaham, na ikumbukwe kuwa cdm bunda hawapo wamoja, kwa hiyo ile team ya uongozi iliyopigwa chini ikiongozwa na PIUS yote imepewa vitendea kazi na wasira kumtafutia wasira kura na kuhakikisha bulaya hashindi kamwe ,maana waliitwa wasaliti ili hali wao ndio ameijenga chadema bunda ,mark my words BULAYA hawezi shindi hapa bunda