Kumbe maoni yake ni Kwa sababu ya Chuki Kwa Mheshimiwa basi hakuna haja ya lockdown lakini kama ni Kwa ajili ya Usalama wa watanzania basi kuna haja ya kutafakari na sio kupiga kelele
Pole sana Mkuu punguza pressure na believe in your self tumia asali, mdalasini na vitunguu swaumu bila kusahau boresha Mlo inachukua muda kuwa na uvumilivu tu pia jifunze namna bora ya kutumia hizo vitu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.